Simba Yaendelea na Mazoezi ya Kuwakabili KMC

Klabu ya Simba inaendelea na maandalizi ya Mchezo wa tarehe 26/12/2022 dhidi ya KMC FC  unaotarajiwa kupigwa katika Dimba la CCM Kirumba Jijini Mwanza.

Simba Yaendelea na Mazoezi ya Kuwakabili KMC

Simba imetoka kulazimishwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Kagera katika mchezo wao uliopita huku wakitarajia kuondoka na pointi 3 CCM Kirumba ili kupunguza gepu lililopo kati yao na vinara wa Ligi Yanga.

Mgunda na vijana wake wanaenda kwenye mchezo dhidi ya KMC wakikumbuka sare ya 2-2 waliyopata kwa Mkapa baada ya vijana jao wa Thiery Hitimana kurejesha mabao ambayo walikuwa wameyafunga.

Simba Yaendelea na Mazoezi ya Kuwakabili KMC

KMC baada ya kuwa na mwenendo mbaya walirudi relini ambapo walishinda michezo yao miwili mfululizo , huku Msimbazi wataingia dimbani na kumkosa kinara wao wa mabao Mosses Phiri aliyeumia mchezo uliopita.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.