Baada ya Kagera Sugar Kutoa Sare Atamenyana Dhidi ya Geita Kesho.

Vijana wa Mecky Mexime Kagera Sugar baada ya kutoka kumlazimisha mnyama Simba sare nyumbani kwake, kesho wanatarajia kushuka Dimbani kwao palepale Kaitaba kukiwasha dhidi ya Geita Gold.

 

Baada ya Kagera Sugar Kutoa Sare Atamenyana Dhidi ya Geita Kesho

Mchezo huo utapigwa majira ya saa 12:15 huku Geita Gold wakitarajia kusaka pointi tatu muhimu ili waweze kujiweka kwenye nafasi nzuri kwani msimu uliopita walimaliza nafasi ya nne.

Kagera Sugar na Geita Gold wanafanana pointi zao kwenye msimamo ambapo wanazo 23, ila kinachowatofautisha ni mabao ya kufunga na kufungwa, huku Mexime na vijana wake wapo nafasi ya 6 na vijana wa Minziro wapo nafasi ya 7.

Baada ya Kagera Sugar Kutoa Sare Atamenyana Dhidi ya Geita Kesho

Mechi ya mwisho kumenyana walitoka sare ya kufungana bao 1-1 huku Walima miwa ndio walianza kufunga na kisha bao hilo likaja kusawazishwa.

 

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.