Singida BS Yasonga Mbele Kombe la Shirikisho Afrika

Klabu ya Singida BS imesonga mbele kwenye michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika baada ya kumfunga JKU ya Zanzibar kwa jumla ya aggregate (4-3) kwenye michezo yote miwili.

 

Singida BS Yasonga Mbele Kombe la Shirikisho Afrika

Mechi ya kwanza, Singida alishinda kwa mabao 4-1 huku timu hiyo ambayo ipo chini ya kocha mkuu Pluijm ikionekana kuwa na nafasi kubwa ya kusonga mbele kwenye michuano kirahisi.

Aviator, poker, Roullette, Wild Icy Fruits, Piggy Party na mingine kibao upige pesa na Meridianbet. Ingia www. meridianbet.co.tz.

Lakini haikuwa hivyo kama ambavyo watu wengi walifikiria kwani jana kwenye mechi ya pili ya marudiano, JKU alipachika mabao 2-0 mpaka dakika zote kukamilika na kufanya mchezo kuw ana presha kwa upande wa Walima alizeti.

Singida BS Yasonga Mbele Kombe la Shirikisho Afrika

Beti na Meridianbet kwa odds kubwa na machaguo kibao, pia unaweza kubashiri mubashara.

Kutokana na timu hiyo kutoka Tanzania Bara kujipanga vizuri basi mechi hiyo iliweza kumalizika kwa wao kupoteza lakini kusonga mbele kwenye michuano hiyo kutokana na mabao mengi ambayo waliyafunga kwenye mchezo wa kwanza.

 

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.