Al Nassr Yasherehekea Ronaldo Kuweka Rekodi Ureno

Al Nassr wamesherehekea uchezaji wa Cristiano Ronaldo ambao umevunja rekodi katika Taifa la Ureno.

 

Al Nassr Yasherehekea Ronaldo Kuweka Rekodi Ureno

Kwa kuzingatia kujitolea kwake katika soka Ronaldo anaweza kuwa hakula keki aliyokabidhiwa hapo jana.

Al Nassr walikuwa wakisherehekea mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 38 kuwa mchezaji aliyecheza mechi nyingi zaidi kwa wanaume wakati wote.

Ronaldo alicheza mechi yake ya 197 kwa Ureno mnamo Machi 23, akifunga mara mbili katika kichapo cha 4-0 kutoka kwa Liechtenstein.

Al Nassr Yasherehekea Ronaldo Kuweka Rekodi Ureno

Sambamba na kuashiria mafanikio hayo, Al Nassr pia alisherehekea miaka 25 ya kuzaliwa kwa Abdulrahman Ghareeb.

Klabu iliandika katika ukurasa wake wa Twitter; “Leo, tunasherehekea rekodi na siku ya kuzaliwa. Rekodi ya mchezaji aliyecheza mechi nyingi zaidi katika soka ya kimataifa na siku ya kuzaliwa ya mchezaji mwenye kipawa wa Saudi.”

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.