BODI YA LIGI WAIKATAA SIMBA

Baada ya Simba kutoa taarifa kuwa wanagomea mechi kwa kuwa walizuiwa kufanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Mkapa hivyo hawatacheza mchezo wa Machi 8 2025, Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania, (TPLB) Steven Mguto amesema wanalifanyia kazi.

BODI YA LIGI WAIKATAA SIMBA

Ikumbukwe kwamba mchezo wa leo ni mzunguko wa pili baada ya ule wa mzunguko wa kwanza ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Simba 0-1 Yanga unatarajiwa kuchezwa saa 1:15 usiku kwa wababe hawa kukutana uwanjani kusaka pointi tatu muhimu.

Pia meridianbet inatoa michezo ya kasino ya mtandaoni kama vile, Aviator, poker, Roullette, sloti na mingine kibao. Ingia meridianbet na ucheze sasa.

Mguto amesema: “Najua huu mgogoro na sio kitu cha kupuuzwa hivyo tutafanyia kazi kwa naitisha kikao asubuhi cha saa 72 ndiyo kamati ambayo inafanyia kazi kwenye kuendesha ligi hivyo tutafanyia kazi na umma utajulishwa.

BODI YA LIGI WAIKATAA SIMBA

“Usiniulize ninafanyia kazi kitu gani mpelelezi huwezi kumwambia kazi yao unaifanyia namna gani, sisi tuna namna yetu, wasubiri ni kitu nyeti sio kitu cha kudharau wanaweza kuwa Simba wanahoja hivyo tutajua. Sisi wakati tunatengeneza kanuni na tukishazipitisha kila mdau anakuwa nazo kanuni.”

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.