CAF : Gomez Kukosa Mechi Ligi ya Mabingwa.

 

Shirikisho la soka Afrika, limetoa orodha ya Makocha ambao hawaruhusuwi kukaa kwenye bench la timu zao, kutokana na kukosa vigezo vya CAF A au UEFA PRO LICENCE huku Didier Gomes wa Simba akikosa vigezo hivyo kwa kuwa yeye ana (UEFA A Diploma).

 

Kocha mkuu wa klabu ya Simba Didier Gomes hataruhusiwa kukaa kwenye bechi la ufundi la Simba kwenye mechi za klabu bingwa Afrika (Caf Champion League) kutokana kuwa na leseni ya Uefa A Diploma huku CAF wakitaka Leseni A ya CAF au Uefa Pro kwa kocha mkuu.

Pia wakati kocha Gomes atakaa jukwaani pia kocha msaidizi wa klabu hiyo Seleman Matola mwenye leseni C naye atakaa jukwaani kwa mechi za awali kutokana na kutomaliza masomo ya leseni B ambayo inatakiwa kuwa nayo kwa kocha msaidizi.

Katika orodha hiyo pia wametajwa makocha kadhaa ambao hawaruhusiwi kukaa benchi sababu kukosa vigezo vya CAF A na UEFA Pro Licence.

Erradi Mohamed Adil • 🇷🇼 APR

Bosa Wasswa • 🇺🇬 Express FC

Diego Garzitto • 🇸🇩 El Merreich SC

Comlan Mathias • 🇧🇯 ESAE FC

Pascal Lafleurial • 🇨🇫 DFCB

Roque Sapir • 🇦🇴 GD Sagrada Esperança

Ame Khamis • 🇹🇿 KMKM

Abalo Jean-Paul 🇹🇬 ASKO


USHINDI KIGANJANI KWAKO!

Meridianbet inakuletea ushindi kwenye kiganjani kwako, unafurahia radha halisi ya burudani ya kasino mtandaoni na tabasamu la ushindi.

Meridianbet Online Casino

INGIA MCHEZONI HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.