Baada ya kuhusishwa na Roma, sasa Juventus wanatajwa kuwa klabu mpya inayoweza kumsajili kiungo wa zamani wa Milan, Franck Kessié, ambaye kwa sasa anachezea Al-Ahli.

Taarifa zilieleza kuwa mchezaji huyo wa kimataifa wa Ivory Coast ana hamu ya kurejea Serie A, baada ya kuwa na uzoefu wa ligi hiyo akiwa na Atalanta na Milan.
Kwa kuwa aliwahi kufanya kazi chini ya kocha Gian Piero Gasperini huko Bergamo, Roma ndiyo klabu iliyotajwa awali, lakini mazungumzo hayo hayakupiga hatua kubwa.
Bila kusahau meridianbet ndio wakali wa ODDS KUBWA, Machaguo zaidi ya 1000 na kila kitu ukitakacho. Bashiri kijanja hapa.
Kwa sasa Juventus wanaufuatilia kwa karibu mchakato huo na huenda wakatoa ofa wakati wa dirisha la majira ya joto.



