Marco Pellegrino ameondoka Buenos Aires na kuelekea Italia kufanyiwa vipimo vya afya na Milan.

 

Pellegrino Aondoka Argentina kwa Ajili ya Matibabu ya Milan

Beki huyo wa Argentina mwenye umri wa miaka 21 anatazamiwa kujiunga na Rossoneri kwa mkataba wa kudumu wa €3m pamoja na nyongeza na kipengele cha mauzo kwa klabu yake ya Platense.


Odds kubwa kasino ya mtandaoni na michezo ya sloti ni vitu vinavyoweza kubadilisha maisha yako kwa kukupatia pesa nyingi. Ingia mchezoni hapa.

Alitoka kutoka Buenos Aires jana usiku kama ilivyoandikwa na mmoja wa marafiki zake kwenye Instagram.

Pellegrino Aondoka Argentina kwa Ajili ya Matibabu ya Milan

Kulingana na Milannews, Pellegrino atatua Uwanja wa Ndege wa Linate leo jioni na anatarajiwa kufanyiwa vipimo vyake vya afya na wababe hao wa Serie A Jumanne.

Aviator, poker, Roullette, Wild Icy Fruits, Piggy Party na mingine kibao upige pesa na Meridianbet. Ingia www. meridianbet.co.tz.

Milan wanacheza mechi yao ya kwanza ya Serie A 2023-24 usiku wa leo dhidi ya Bologna kwenye Uwanja wa Stadio Dall’Ara.


JIBU

Tafadhali andika maoni yako
Tafadhali andika jina lako hapa