Ken Gold Yaanza Tizi

Baada ya kupoteza mchezo wa kwanza dhidi ya Pamba kwa bao 1-0, kikosi hicho  cha Ken Gold kimeanza mazoezi kwa ajili ya kujiandaa na mchezo ujao dhidi ya Gwambina.

 

 

Ken Gold Yaanza Tizi

Mchezo huo wa michuano ya Championship ulipigwa Septemba 17 mwaka huu kwenye Uwanja wa Nyamagana, Jijini Mwanza.

Akizungumzia maandalizi yao, Katibu Mkuu wa Ken Gold, Benson Mkocha amesema kuwa “Tunamshukuru Mungu kikosi kimeanza mazoezi kuelekea mchezo ujao dhidi ya Gwambina.

“Licha ya kupoteza mchezo uliopita dhidi ya Pamba lakini wachezaji wamelisahau hilo na wameahidi kwenda kupambana kwenye mchezo ujao ili waweze kupata matokeo.”

 

Ken Gold Yaanza Tizi

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.