Mandonga: "Mimi ni Kitambulisho cha Taifa"

Bondia ambaye anazidi kujizolea umaarufu kila siku Karim Mandonga amesema kuwa yeye ndiye kitambulisho cha Taifa la Tanzania kupitia kipindi cha recap kinachofanywa na EL Mando.

 

Mandonga: "Mimi ni Kitambulisho cha Taifa"

Mandonga ameeleza kuwa yeye ndio kipenzi cha Warembo Tanzania kwa sasa, hakuna mtu anayependwa na warembo kama yeye. Lakini mbali na hilo bondia huyo ameongeza kuwa akifika sehemu hana haja ya kuuliza mara mbili.

Hata ukienda sehemu ukitaja jina lake moja kwa moja watu watajua anatoka Tanzania, hivyo umaarufu huo unamfanya kupiga dili mbalimbali na kuhamasisha watui wengi kuingia kwenye ngumi.

Mandonga: "Mimi ni Kitambulisho cha Taifa"

Bondia huyo amevuka mipaka sio hapa Tanzania tuu bali hata nchi ya jirani Kenya mabapo alipigana pigano lake siku si nyingi watu wamezidi kumfahamu na kumfatilia kwa ukaribu kabisa.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.