Mourinho - Nahitaji Mshambuliaji wa Kupambana na Kane.


Meneja wa Klabu ya Tottenham, Jose Mourinho amewapiga mkwara wachezaji anaowataka kuwapa dili ndani ya timu hiyo kwa kusema kuwa ikiwa wanahofia kushindana na mshambuliaji wake namba moja Harry Kane na Son Heeung-min hawezi kufanya nao kazi.

Mourinho ambaye huwa haishiwi maneno inaelezwa kuwa klabu yake ipo kwenye hesabu za kupata saini ya mshambuliaji wa Red Bull Salzburg, Patson Daka inaelezwa kuwa amepunguza ile shauku ya kutaka kujiunga na timu hiyo.

 

Mourinho - Nahitaji Mshambuliaji wa Kupambana na Kane.

 

Licha ya kwamaba Tottenham inahitaji kufanya usajili bado ipo kwenye mchakato wa kujua ni yupi atakuwa sahihi kutua ndani ya timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu England.

Ripoti zinaeleza kuwa Mourinho amesema kwamba akiwa kwenye mpango wa kuwatafuta washambuliaji wapya hana kazi ya kuwashawishi yeye zaidi wao wanapaswa wamshawishi yeye ili awape mkataba na ikiwa mshambuliaji ana hofu ya kujiunga na timu yake kisa anahofia ushindani huyo hawezi kumfaa kabisa.

 

Mourinho - Nahitaji Mshambuliaji wa Kupambana na Kane.

“Ndio ninahitaji mshambuliaji hilo lipo wazi, ila kama hataki kuja ndani ya kikosi kwa kuwa nina Harry Kane, Son, Lamela, Lucas Moura unadhani nini kitafuata basi nitamwambia kwaheri.

“Hata timu yenyewe inajua kwamba ninahitaji mshambuliaji ila sio katika hali hii,” alisema Mourinho.


SHINDA NA MERIDIANBET!

Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.

Cheza Sasa.

38 Komentara

    🔥🔥

    Jibu

    My fav coach of all time

    Jibu

    Asanten kwa tarifa. Meridian

    Jibu

    Mourinho Naona kaanza mapepo yake

    Jibu

    Mourinho anamambo mengi

    Jibu

    Mourinho Ni kocha mzuri anajua nini anafanya kwenye kikosi chake

    Jibu

    Mourinho naona anataka kuwanoa vijana ila ni kocha mzuri sana#Meridianbettz

    Jibu

    Kane level nyingine

    Jibu

    Kane level nyingine.

    Jibu

    Mourinho yuko vizur sana

    Jibu

    Yuko sahii na kazi yake@meridianbettz

    Jibu

    Ni jambo zuri kwani litaongeza umakini wa Kane uwanjani

    Jibu

    Mourinho ni kocha mzuri

    Jibu

    Mourinho yupo sahii kwanacho kiongea

    Jibu

    Murinho anajipanga

    Jibu

    Yupo sahihi replacement ya kane muhimu Sana the special one

    Jibu

    ni jambo zuri

    Jibu

    Mourinh ni kocha mzuri nafikiri anataka aweke ushindani mzuri kwa Kane ili aweze kujituma sawasawa

    Jibu

    Mourinho ashaaza kuwatisha watu

    Jibu

    sawa kabisa kane apate msaidizi pale

    Jibu

    Kane ni fowadi mzuri sana na mabek inabid wajipang vizur kumkabil awapo kweny boks

    Jibu

    Kwer wanaitaj wakupamban nao kuongez kiwango

    Jibu

    Mmm

    Jibu

    Noma sanaa.

    Jibu

    Morinho yuko sahihi anahitaji mshambuliaji ambae atakuja kumpa hamasa Kane ya kujituma kwaiyo kutakua na ushindani wa namba.

    Jibu

    sahh

    Jibu

    Kane fowad anaejua umuhim wa kuscore

    Jibu

    Mourinho ana mbwembwe

    Jibu

    Namkubali sana Mourinho

    Jibu

    Hilo pia ni jambo zurii.

    Jibu

    Mourinho Ni kocha mzuri anajua nini anafanya kwenye kikosi chake, changamoto nzur sana

    Jibu

    Mourinho kocha mzuri sana anatumia mbinu nyingi katika kupata kile kilicho bora zaidi!!

    Jibu

    Mourinho ameanza mambo zake

    Jibu

    Mourinho amesema msimu huu atapambana kweli kweli#Meridianbettz

    Jibu

    kocha mzuri

    Jibu

    Kocha mahiri

    Jibu

    Mourinho naona anataka kuwanoa vijana ila ni kocha mzuri sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.