Aubameyang: Arteta Azungumzia Mkataba Wake

Arteta Juu ya Mkataba wa Pierre-Emerick Aubameyang.

Bosi wa Arsenal Mikel Arteta anatarajia kuwa kutakuwa na taarifa njema kwa wapenzi wa Arsenal juu ya suala la mkataba wa Pierre-Emerick Aubameyang kwa siku chache tu zijazo.

Mshambuliaji huyu, ambaye ni raia wa Gabon ametoa mchango wake katika ushindi wa bao 3 bila dhidi ya Fulham, kwenye mechi yao ya ufunguzi wa msimu wa 2020/21.

Aubameyang amefunga magoli 55 tangia alipoanza kuichezea Arsenal Februari 4, 2018, akiwa ni mchezaji pekee aliyefikisha idadi hiyo kwa wale wanye mda sawa na yeye kwenye ligi.

Hata hivyo, hatma ya nyota huyu imekuwa na sintofahamu, akitajwa kuwa kwenye uangalizi zaidi kwenye siku za hivi karibuni. Mkataba wake wa sasa unafika tamati nwaka 2021.

Arteta amewataka wapenzi wa Arsenal kuwa na subira kwa kuwa wanaenda kusikia taarifa njema kuhusu hatma ya mkataba wa staa huyu katika siku chache zijazo, huenda ikawa mapema wiki ijayo  kwa mujibu wa bosi huyu.

Arteta anatarajia kikosi chake kitaendelea kuwa na moto kilioanza nao, ndicho atakachokuwa akizingatia anapokuwa anakiandaa kikosi chake katika kupambana vyema msimu huu mpya.


 

SHINDA NA MERIDIANBET!

Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.

Cheza Sasa.

32 Komentara

    Arteta anataka kukijenga vyema kikosi chake

    Jibu

    Arteta yupo vizuri

    Jibu

    Arteta amefanya vizuri sana aubameyang Ni mchezaji mzuri sana na anajua nini anafanya akiwa uwanjani

    Jibu

    Arteta naona anataka kukijenga vyema kikosi chake kiwe imara mara dufu#Meridianbettz

    Jibu

    Anataka kuimarisha kikosi

    Jibu

    Arteta Yuko vizuri kwa kujenga kikosi chake@meridianbettz

    Jibu

    Kwa hali ambayo Arsenal wameonyesha kwenye ufunguzi wa ligi, Aubameyang lazima atamwaga Wino tena ndani ya Arsenal

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Arteta anasuka kikosi

    Jibu

    arteta naona anataka kukiimarisha vizuri kikosi chake

    Jibu

    Arteta ni mchezaji mwenye kujituma sana

    Jibu

    Mikal arteta anataka kukiweka kikosi chake vizuri

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Auba ni fowad alieipa mataji arsenal hivyo kuham hapo ni ngumu

    Jibu

    Arteta anajiamini vilivyo

    Jibu

    Naamin Aubameyang ataongez mkatab wa kuendelea Arsenal

    Jibu

    Arteta namuelewa sana

    Jibu

    Good news 👍

    Jibu

    Habari nzuri.

    Jibu

    Gud news.

    Jibu

    habar njema

    Jibu

    Auba ni mchezaji mahir na ameifanyia mazur arsenal

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Nampenda sana Arteta anavyoandaa kikosi chake

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

    Arteta mambo yako yamotoo

    Jibu

    Arteta mpe mkataba mrefu uyo kijana bado tuna kazi naye hapo

    Jibu

    Shida Ni kwamba hao wapenzi wa Arsenal Wanaweza kuwa na subira

    Jibu

    Vzr

    Jibu

    Arteta Yuko vizuri kwa kujenga kikosi

    Jibu

    Arteta amefanya vizuri sana aubameyang Ni mchezaji mzuri sana na anajua nini anafanya akiwa uwanjani

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.