Wachezaji wa Inter Milan Alexis Sanchez, Arturo Vidal na Cristian Romero wamesimamishwa katika ngwe ya pili ya nusu fainali ya Coppa Italia dhidi ya Juventus.

Wawili hao wa Inter, Alexis Sanchez na Vidal wamekusanya kadi za njano za kutosha kupata marufuku ya moja kwa moja na watakosa safari ya kwenda Juventus Jumanne jioni.
Walakini, Romelu Lukaku na Achraf Hakimi watarudi katika mchezo huo baada ya kukosa mchezo wa kwanza kwa kusimamishwa.
Neptune’s Richies ni mchezo Unaokupa pesa chap chap huku ukiwa unaburudika kupitia Kasino ya Mtandaoni ndani ya Meridianbet.



Caroline
Pole yao
Magdalena
Jamani pole yao
Dorophina
Hili balaa pole yao
Adelta
Hii sio poa kabisaa
Rahma
Du majanga kweli
Sania
Hii balaa kwakweli
Venerose
Poleni sana
Khadija
poleni sana
Sylvester
Litakua pigo kubwa kwa Inter kwani muunganiko wa wachezaji hao hua unawapa ushindi mnono
Lydia Emmanuel Magoti
Duu pole yao
Issa
Inter ijipange
Hopemwaikuka
Majanga
warda
pole yao