Walinzi Bora wa Kulia
Ili timu iweze kuwa imara huhitaji wachezaji bora na wenye weledi wa kuzuia timu yao isiweze kufungwa mara kwa mara. Uwepo wa wachezaji wa aina hii ni kiini cha kuwepo …
UEFA: Nani Kufungasha Virago?
Michuano ya klabu bingwa bado inaendelea kushika kasi na leo lazima wawili watoke ili kuachia nafasi ya wengine kusonga mbele. Hiyo ndiyo radha halisi ya soka pale anapotoka mtu na …
Sterling Anapoteza Matumaini na Ubingwa EPL
Staa wa Manchester City, Raheem Sterling anapoteza matumaini kama klabu yake inaweza kuutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza EPL msimu huu. Sterling anafikiri kwa namna mbio za kuwania taji …
Tujikumbushe: Simba Yamemkuta!
Wahenga husema hakuna marefu yasiyo na ncha, hakika huu msemo una maana kubwa hata kimazingira upande wa soka. Japo wengi wanaposhiriki michuano fulani mikubwa hawatamani kabisa kukutana na ncha hizo …
Woods Aweka Historia
Kwa miaka mingi Tiger Woods amekuwa akifahamika kama miongoni mwa nyota wa uwezo wa juu kabisa kwenye gofu. Uwezo wake, umakini na uimara wake kwenye kitengo hicho hupewa heshima sana. …
Kikosi cha United Kujipindua Barca
United wamesafiri kuelekea Catalonia leo ili wawe na angalau siku moja ya maandalizi ya gemu dhidi ya Barcelona ya Ligi ya mabingwa ulaya wakitarajia kujipindua kichapo cha bao 0-1 walichokipata …
Salah Ubaoni Tena!
Baada ya kukosolewa kwamba kiwango chake kwa sasa kimeshuka, Salah ameudhihirishia ulimwengu kwamba kile wanachofikiri juu yake ni suala la wakati tu na ana uwezo bado wa kufanya makubwa zaidi …
“Tulicheza Kama Wageni!” – Mbappe
Inawezekana haikuwa siku nzuri upande wa PSG walioambulia kichapo cha kihistoria ndani ya ligi ya Ufaransa kutoka kwa Lille walioonekana kujipanga tangu mwanzoni kabisa mechi ikiwa inaanza. Kitu hicho kwa …
Man City Waendeleza Ubabe EPL
Mabingwa wa Uingereza, Man City kama wamemvuruga Crystal Palace akiwa nyumbani kwa kumlaza kwa bao 1-3, ni rasmi sasa wamerejea kileleni wakiwa na pointi moja zaidi ya Liverpool. Raheem Sterling …
Christian Ericksen Atalipwa Mara 3 Akiwa United
Klabu ya Manchester United inaripotiwa kuwa wapo tayari kumnasa nyota wa Spurs Christian Ericksen ambaye atakula dili nono ikiwa atamwaga wino klabuni hapo. United wanatajwa kuwa wapo tayari kumlipa staa …

