Alex Mpini Bondia Mtanzania Kupigana na Mualgeria
Daily News

Mtanzania Alex Mpini Kushuka Ulingoni leo| Uzito wa Juu 92kg| Bashiri Meridianbet Cheza Kasino ya Mtandaoni ushinde. Bondia Alex Sita Mpini anatarajiwa kupanda ulingoni leo mchana kupigana dhidi ya Mourad …

Soma zaidi
Toddy Boehly Awataka Mashabiki Chelsea Kuwa na Subira
Daily News

Mmiliki na bosi wa Chelsea Todd Boehly amewataka mashabiki wa timu hiyo wawe na subira na kuahidi kuwa watalitatua suala la matokeo mabaya linaloikumba timu hiyo. Odds kubwa za soka …

Soma zaidi
Haaland Aweka Rekodi Mpya ya Mabao Msimu Huu wa Ligi Kuu
Daily News

Erling Haaland amevunja rekodi ya kufunga mabao mengi zaidi katika kampeni za Ligi Kuu ya Uingereza baada ya kufunga bao lake la jana akiwa na Manchester City dhidi ya West …

Soma zaidi
Simba Yadondosha Pointi Lindi
SOKA LA BONGO

Klabu ya Simba imedondosha pointi mbili hapo jana na kuambulia moja kwenye mchezo wao wa jana dhidi ya Namungo FC walipokuwa ugenini na kutoka sare ya 1-1.   Mechi hiyo …

Soma zaidi
Zinchenko Agoma Kukata Tamaa
Daily News

Beki wa klabu ya Arsenal raia wa kimataifa wa Ukraine Oleksandr Zinchenko amegoma kukata tamaa juu ya taji la ligi kuu ya Uingereza na anaona bado wana nafasi ya kutwaa …

Soma zaidi
Barcelona Wanahitaji Alama Tatu tu Kua Mabingwa
La Liga

Klabu ya Barcelona inahitaji alama tatu tu kutawazwa kua mabingwa wa ligi kuu ya Hispania La Liga kwa mwaka 2023 na kuwavua ubingwa mahasimu wao klabu ya Real Madrid ambao …

Soma zaidi
Messi Kutimka PSG Mwishoni mwa Msimu Huu
Ligue 1

Staa wa klabu ya PSG Lionel Messi taarifa zinaeleza ataondoka ndani ya klabu hiyo mwishoni mwa msimu huu huku akihushwa na kurejea ndani yake ya zamani klabu ya Barcelona. Messi …

Soma zaidi
Ferdinand Ajumuishwa Kwenye Kikosi Cha Heshima Epl
Daily News

Beki wa zamani wa klabu ya Manchester United raia wa kimataifa wa Uingereza Rio Ferdinand amefanikiwa kujumuishwa kwenye kikosi cha heshima cha ligi kuu ya Uingereza maarufu kama Premier League …

Soma zaidi
Simba kamili kuwamaliza Namungo usiku wa leo
SOKA LA BONGO

JUMA Mgunda, kocha msaidizi wa Simba amesema maandalizi yote kwa ajili ya mchezo mgumu dhidi ya Namungo yamekamilika. Timu hii inatarajiwa kumenyana na Namungo kwenye mchezo wa mzunguko wa pili …

Soma zaidi
Bellingham Kutua Madrid ni Suala la Muda
La Liga

Kiungo wa kimataifa wa Uingereza anayekipa klabu ya Borussia Dortmund ya Ujerumani Jude Bellingham inaelezwa yuko kwenye hatua za mwisho kumalizana na klabu ya Real Madrid ili kujiunga na mabingwa …

Soma zaidi
1 2 3 515 516 517 518 519 520 521 2,271 2,272 2,273
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.