Ten Hag Afukuzwa na Bayer Leverkusen
Bundesliga

Klabu ya Bayer Leverkusen ambayo inakipiga kule ligi kuu ya Ujerumani, BUNDESLIGA imemtimua kazi ambaye alikuwa kocha wao Erik Ten Hag baada ya kukosa matokeo mazuri kwenye mechi mbili alizocheza …

Soma zaidi
Thuram Adai Inter Walikosa Bahati Kwenye Kichapo Kigumu Dhidi ya Udinese
Serie A

Inter imepoteza mechi yake ya kwanza ya msimu huu usiku wa jana baada ya kukubali kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa Udinese waliocheza kwa ari kubwa na kugeuza matokeo kutoka …

Soma zaidi
Lamptey Ajiunga na Fiorentina Akitokea Brighton
Daily News

Klabu ya Fiorentina imethibitisha kumsajili beki wa pembeni Tariq Lamptey kwa uhamisho wa kudumu akitokea Brighton & Hove Albion. Kwa mujibu wa taarifa, mtaalamu wa usajili wa Football Italia, Alfredo …

Soma zaidi
Openda Atua Turin Kwaajili ya Vipimo vya Afya Juventus
Daily News

Dakika chache tu baada ya Edon Zhegrova, Lois Openda naye ametua nchini Italia kwa ajili ya kufanyiwa vipimo vya afya na klabu ya Juventus. Mabingwa wa kihistoria wa Serie A, …

Soma zaidi
Donnarumma Kukamilisha Uhamisho wa Pauni Milioni 27 kwenda Manchester City
Daily News

Nahodha wa Italia, Gianluigi Donnarumma, yupo mbioni kujiunga na Manchester City kwa ada ya uhamisho ya €27 milioni na mshahara wa awali wa €15 milioni. Kwa mujibu wa taarifa za …

Soma zaidi
Djokovic Amnyamazisha Norrie, Afikia Rekodi ya Federer
US Open

Novak Djokovic ameonyesha kwamba bado hajafika mwisho, akipambana kishujaa na kumshinda Cameron Norrie katika raundi ya nne ya US Open. Ingawa Mserbia huyo alionekana akihangaika na maumivu ya mgongo, alibeba …

Soma zaidi
Taylor Townsend Aitikisa US Open Amtoa Mirra Andreeva
US Open

Taylor Townsend ameshika vichwa vya habari duniani baada ya kumtupilia mbali nyota chipukizi na mchezaji namba tano kwa ubora, Mirra Andreeva, katika raundi ya tatu ya US Open. Mmarekani huyo …

Soma zaidi
Liverpool Na Jaribio la Mwisho kwa Isak
Daily News

Muda unazidi kuyoyoma kwa Alexander Isak kutimiza ndoto ya kujiunga na Liverpool. Klabu hiyo imekuwa ikimvutia kwa muda mrefu na tayari walishatoa ofa ya pauni milioni 110 mapema dirisha hili …

Soma zaidi
Mustakabali wa Wachezaji Man United Njia panda
Daily News

Dirisha la usajili wa majira ya joto bado lipo wazi hadi sasa, na Manchester United wanaweza kufanya maamuzi ya dakika za mwisho kabla ya muda wa mwisho Jumatatu saa 1 …

Soma zaidi
Real Betis Waondoa Ofa ya Usajili wa Antony
Daily News

Real Betis wameripotiwa kuondoa ofa yao ya kumsajili Antony kutoka Manchester United, hatua inayotia mashaka hatima ya winga huyo kabla ya dirisha la usajili kufungwa Jumatatu. Antony, ambaye amehusishwa kwa …

Soma zaidi
1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 2,176 2,177 2,178
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.