Dakika chache tu baada ya Edon Zhegrova, Lois Openda naye ametua nchini Italia kwa ajili ya kufanyiwa vipimo vya afya na klabu ya Juventus.

Mabingwa wa kihistoria wa Serie A, Juventus, leo asubuhi wamewapokea wachezaji wapya wawili kwa pamoja. Wote wawili, Zhegrova na Openda, wametua Italia kwa ajili ya kukamilisha vipimo vyao vya afya kabla ya kujiunga rasmi na kikosi cha The Old Lady.
Leo hii unaweza kutusua mkwanja mrefu endapo utacheza michezo ya Kasino ya Mtandaoni kama vile Aviator, Poker, Roullette, Keno, Super Heli na mingine kibao. Ingia Meridianbet sasa na ucheze hapa.
Kwa mujibu wa mwandishi Romeo Agresti, Openda aliwasili Uwanja wa Ndege wa Linate jijini Milan siku ya Jumatatu asubuhi ambapo klabu hiyo wanatarajia makubwa klabuni hapo kwa mchezaji huyo.


