Azam FC na Singida Big Stars Nani Kutinga Fainali Leo?

Nusu fainali ya kwanza ya Mapinduzi CUP inatarajiwa kupigwa leo majira ya saa 2:15 usiku ambapo mabingwa mara nyingi Azam FC watamenyana dhidi ya Singida Big Stars kuwania kucheza fainali.

 

Azam FC na Singida Big Stars Nani Kutinga Fainali Leo?

Azam FC inahitaji hili Kombe baada ya kuona kuwa kugombea taji la ligi kuu ni vigumu kutokana na pointi alizozidiwa na kinara wa Ligi Yanga lakini pia na anayeshika nafasi ya pili Simba.

Mchezo huo utapigwa katika Uwanja wa Amani ambapo pia kwa upande wa Singida nao wanahitaji angalau wachukue Kombe hili kwani kwenye Ligi napo ni ngumu kuchukua kutokana na ushindani uliopo kwa vilabu vikubwa.

Azam FC na Singida Big Stars Nani Kutinga Fainali Leo?

Singida na Wanalamba Lamba wameshakutana kwenye Ligi na Azam akaibuka na ushindi mwembamba. Je Leo hii walima alizeti watakubali kupoteza mara nyingine kwa matajiri wa Chamazi?

 

 

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.