Leo hii ligi kuu ya NBC Tanzania inaendelea kwa michezo miwili ambapo mchezo wa mapema kabisa ni huu wa Simba SC ambaye atakuwa ugenini dhidi ya Tanzania Prisons.
Mchezo huo utapigwa majira ya saa 10: 00 jioni katika dimba la Sokoine jijini Mbeya, huku timu zote zikihitaji kupata ushindi kwenye mchezo huu wa leo.
Pia meridianbet inatoa michezo ya kasino ya mtandaoni kama vile, Aviator, poker, Roullette, sloti na mingine kibao. Ingia meridianbet na ucheze sasa.
Ikumbukwe kuwa Simba chini yakocha mkuu Davids Fadlu wametoka kupoteza mechi yao iliyopita dhidi ya mtani wao hivyo mchezo huu wa leo ni muhimu sana kwao ili waweze kupunguza gepu la pointi ambalo wanalo.
Tanzania Prisons au Wajelajela wapo nafasi ya 12 huku wakiwa wamehsinda mechi moja pekee kwenye michezo saba ambayo wamecheza hadi sasa huku wakipoteza miwili na kutoa sare 4 hadi sasa.
Huku Mnyama yeye yupo nafasi ya 5 na pointi zake 13, akishinda mechi nne, sare moja na kupoteza mechi moja.
Mara ya mwisho kukutana Simba alipoteza akiwa nyumbani. Je leo hii ataenda kulipa kisasi huku mabingwa wa ODDS KUBWA Tanzania Meridianbet wakimpa nafasi kubwa ya kushinda kwa ODDS 1.37 kwa 7.44.
This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.
Strictly Necessary Cookies
Strictly Necessary Cookie should be enabled at all times so that we can save your preferences for cookie settings.
If you disable this cookie, we will not be able to save your preferences. This means that every time you visit this website you will need to enable or disable cookies again.