Simba Kukiwasha Dhidi ya Tanzania Prisons Leo

Leo hii ligi kuu ya NBC Tanzania inaendelea kwa michezo miwili ambapo mchezo wa mapema kabisa ni huu wa Simba SC ambaye atakuwa ugenini dhidi ya Tanzania Prisons.

Simba Kukiwasha Dhidi ya Tanzania Prisons Leo

Mchezo huo utapigwa majira ya saa 10: 00 jioni katika dimba la Sokoine jijini Mbeya, huku timu zote zikihitaji kupata ushindi kwenye mchezo huu wa leo.

Pia meridianbet inatoa michezo ya kasino ya mtandaoni kama vile, Aviator, poker, Roullette, sloti na mingine kibao. Ingia meridianbet na ucheze sasa.

Ikumbukwe kuwa Simba chini yakocha mkuu Davids Fadlu wametoka kupoteza mechi yao iliyopita dhidi ya mtani wao hivyo mchezo huu wa leo ni muhimu sana kwao ili waweze kupunguza gepu la pointi ambalo wanalo.

Simba Kukiwasha Dhidi ya Tanzania Prisons Leo

Tanzania Prisons au Wajelajela wapo nafasi ya 12 huku wakiwa wamehsinda mechi moja pekee kwenye michezo saba ambayo wamecheza hadi sasa huku wakipoteza miwili na kutoa sare 4 hadi sasa.

Huku Mnyama yeye yupo nafasi ya 5 na pointi zake 13, akishinda mechi nne, sare moja na kupoteza mechi moja.

Mara ya mwisho kukutana Simba alipoteza akiwa nyumbani. Je leo hii ataenda kulipa kisasi huku mabingwa wa ODDS KUBWA Tanzania Meridianbet wakimpa nafasi kubwa ya kushinda kwa ODDS 1.37 kwa 7.44.

Acha ujumbe