Yanga Imebakiza Kushinda Mechi 9 Kuwa Bingwa wa NBC Msimu Huu

Klabu ya Yanga ambayo ipo chini ya kocha mkuu Nasredine Nabi imebakiza kushinda mechi tisa kati ya 10 zilizobaki za Ligi Kuu ya NBC ili kutangazwa kuwa Bingwa wa msimu huu wa 2022/23.

 

Yanga Imebakiza Kushinda Mechi 9 Kuwa Bingwa wa NBC Msimu Huu

Yanga mpaka sasa yupo nafasi ya kwanza akiwa na pointi zake 53 kwenye michezo 20 ambayo amecheza, akiwa mbele pointi 6 kwa anayemfuata nafasi ya pili ambaye ni Simba mwenye pointi 47.

Hivyo, Young Africans akishinda mechi zake  atafikisha pointi 80 ambazo timu yoyote haitaweza kuzifikia pointi hizo kwenye ligi msimu huu huku kwa upande wa Simba yeye kuzifikia pointi hizo inakuwa ni ndoto.

Yanga Imebakiza Kushinda Mechi 9 Kuwa Bingwa wa NBC Msimu Huu

Katika kechi hizo 10 za Mabingwa watetezi wa Ligi sita atacheza kwa Mkapa. Je wanaweza kutetea tena taji hili msimu huu na kuwa Mabingwa mara 29 wa Ligi?

 

 

 

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.