Yanga Kumkaribisha Kagera Sugar Kwa Mkapa Leo

Mechi nyingine ya ligi kuu hii leo itapigwa majira ya saa 1:00 usiku katika dimba la Benjamin Mkapa ambapo mabingwa watetezi wa ligi Yanga watamenyana dhidi ya Kagera Sugar.

 

Yanga Kumkaribisha Kagera Sugar Kwa Mkapa Leo

Ikumbukwe kuwa Yanga mpaka sasa wamepoteza mchezo mmoja pekee huku wakiwa bado wanaongoza ligi wakiwa na pointi 65 kwenye msimamo wa ligi baada ya kushinda mechi zao 21 kati ya 24.

Wakati kwa upande wa Kagera Sugar wao wapo nafasi ya 8 baada ya mechi zake 25, huku wakiwa wameshinda mechi zao 8, sare zao 8 na kupoteza mechi mara 9, pointi zao 32 hadi sasa kwenye ligi.

Yanga Kumkaribisha Kagera Sugar Kwa Mkapa Leo

Mechi 05 za mwisho kukutana kwenye ligi, Yanga ameshinda mara 4 huku Kagera akiwa hajashinda hata mechi moja na kutoa sare moja. Bashiri mechi hii na Meridianbet kwa ODDS KUBWA zaidi.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.