Yanga Yaangukia Kundi A Kundi la Klabu Bingwa

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limepanga pia makundi ya klabu bingwa ambapo nchini Tanzania ni Yanga pekee ndiye anayeshiriki kombe hilo baada ya Azam kutolewa hatua ya awali.
Makala iliyopita
Simba Yapangwa Kundi A Kombe la Shirikisho