Rais wa Klabu ya Al-Merrikh, Adam Sudacal kaahidi kitita cha zaidi ya dola elfu 80 (zaidi ya Sh milioni 184.9) kuwapatia wachezaji wake endapo watafanikiwa kuifunga Simba SC.
Vyombo vya habari kutoka Sudan, vimeeleza , kwamba, habari ya mjini katika Mji wa Khartoum ambapo Simba itacheza na Al Merrikh Jumamosi hii, kwa sasa ni Luis Miquissone ambaye amepelekea mchezo huo kuwa na mwamko mkubwa.
“Unaambiwa mambo yameharibika Sudan, mchezo wetu na Al Merrikh utakuwa mgumu kupita mechi zote tulizocheza maana bosi wa klabu yao ameahidi zaidi ya dola elfu 80 ili watufunge.
“Mbali na hilo, tangu CAF walipotoa jina la Miquissone kuwa ndiye aliyefunga bao bora yaani mambo yameharibika kabisa kiasi kwamba gumzo lao kwa sasa ni mpango mkakati wa kumzuia,” kilisema chanzo hicho.
Ni Muda wa Kuvuna Mkwanja na Jungle Jim and the Lost Sphinx
Hauihitaji kufikira mara mbili ni mchezo gani utakupatia mkwanja ndani ya kasino za Meridianbet. Jiunge sasa ufurahie Jungle Jim and the Lost Sphinx.



Lydia Emmanuel Magoti
Kaz hipo hapo leo ndio leo
Rahma
Ngoja tuone
Sarah
Kitaeleweka mwisho wa mpambano
Hopemwaikuka
Hii ofa ni nomaa
Adelta
Mambo yanazidi kunoga meridianbet
Caroline
Kazi wanayo
Mwanahamisi
Kazi ipo
warda
labda wangekuwa wanacheza na yanga wangepata hilo donge nono