Arsenal Wamuunga Mkono Pablo Mari Baada ya Kuchomwa Kisu

Kabla ya mechi yao dhidi ya Nottingham Forest, wachezaji wa Arsenal walituma ujumbe wa kumuunga mkono Pablo Mari ambaye ni mlinzi wa Monza kwa sasa akiwa klabuni hapo kwa mkopo ambaye alifanyiwa upasuaji baada ya kuchomwa kisu huko Italia.

Lakini pia wameweza kumuunga mkono baada ya kufunga bao lao la kwanza kwenye mchezo huo ambao unaendelea huku wakimtaka mchezaji huyo apone kwa haraka ili aweze kurejea uwanjani.

Arsenal Wamuunga Mkono Pablo Mari Baada ya Kuchomwa Kisu

Kikosi hicho kilipiga picha na jezi ya Pablo Mari ya Arsenal wakati wa kujiandaa na Uwanja wa Emirates. Tukio hilo lilitokea Assago, viungani mwa Milan, katika kituo cha biashara siku ya Alhamisi jioni.

Pablo Mari aliripotiwa kuwa wa kwanza kuchomwa kisu mgongoni na alifanyiwa upasuaji siku ya Ijumaa asubuhi kusaidia kushona baadhi ya misuli ya mgongo iliyokuwa imeharibika.

Arsenal Wamuunga Mkono Pablo Mari Baada ya Kuchomwa Kisu

Pablo Mari ameambiwa apumzike kabisa na hatarajiwi kurejea uwanjani kwa muda wa miezi mitatu ili kuangalia afya yake inaendeleaje huku mchezaji huyo akitumia msimu huo kuwa kwa mkopo Mozna.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.