Australia Watwaa Kombe la Dunia la Kriketi T20.

 

Timu ya Taifa ya Kriketi ya Australia imefanikiwa kuchukua ubingwa wa Dunia wa mashindano ya kombe la dunia la kriketi T20 baada ya kuifunga New Zealand.

 

Ubingwa  huo umepunguza presha kwa kocha mkuu kutokana na kuwa na msimu mbaya na kupelekea baadhi ya wachezaji kuhoji staili ya ufundishaji wa kocha huyo.

Katika fainali hiyo iliyopigwa Falme za kiarabu, Dubai ilishuhudia Mitchell Marsh akiwatanguliza Australia kwa tofauti ya wickets nane dhidi ya New Zealand.

Hili linakuwa na kombe la dunia la kriketi la kwanza katika historia ya Australia, wakiwa wametwaa ubingwa huo kutoka kwa West Indies ambaye ndiye bingwa mtetezi.


WIKI NJEMA NA CRAZY TIME CASINO!

Unasababu milioni za kucheza unavyotaka ukiwa na mabingwa meridianbet, lakini unasababu moja ya kushinda mamilioni katika kasino za mtandaoni za meridianbet. Mchezo maridhawa wa Crazy Time unakupa sababu hizo kuwa mmoja wa washindi leo hii.

 

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.