Mserbia Savic Huenda Akasajiliwa Old Trafford

Kwa mujibu wa chanzo cha habari za michezo cha Express kinachoripoti kuwa mchezaji kiungo wa kati wa taifa la Serbia, Sergej Milinkovic-Savic inadaiwa kuwa atahamia kwa Mashetani Wekundu wa Old Trafford – Manchester United wakati huu wa dirisha la usajili wa majira ya kiangazi.

Pamoja na uvumi huu lakini bado yeye binafsi anadai kwamba atakuwa na furaha sana endapo atasalia klabuni Lazio ya Italia kuliko kwenda kwa watabe hawa wa Uingereza, EPL na atachukua muda wakati wa mapumziko aamue baada ya nchi yake ya Serbia kutolewa kwenye Kombe la Dunia linaloendelea huko Urusi ikiwa ni hatua ya 16 bora.

3 Komentara

    Aende tu

    Jibu

    Haende tu

    Jibu

    Nijambo zuri haende tu

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.