Beki wa zamani na gwiji wa club ya Liverpool Jamie Caragher anaamini Chelsea haitaweza kupambania kutwaa Ubingwa ikiwa na Kepa Arrizaballaga kama golikipa wake namba moja. Hivyo wanatakiwa kumfanyia mabadiliko kwa ujio wa golikipa mpya.
Caragher anaona Chelsea inafanana na Liverpool aliyoanza nayo Jurgen Klopp wakati Simon Mignolet na Loris Karius wakiwa walinda milango wake.

Hawakuwahi kushinda taji lolote hadi walipomleta Allison Becker kutoka As Roma. Wakitwaa Ligi ya Mabingwa katika msimu wake wa kwanza kabla ya kuchukua taji la Ligi Kuu msimu huu.
Caragher alisema hayo wakati Chelsea ilipopoteza kwa mabao 5-3 dhidi ya Liverpool. Caragher aliiambia skysports ” Chelsea hawataenda mbali kama hawatambadilisha golikipa wao.
Nikiitazama namna hii timu yao ilivo, na umuhimu wa magolikipa katika timu, wananikumbusha miaka ya kwanza ya Jurgen Klopp akiwa na Mignolet pamoja na Karius kama magolikipa wake. Hawakuwahi kushinda chochote hadi walipomleta Allison.”

“Lampard amefanya vizuri sana kwa msimu wake wa kwanza. Na wachezaji wakubwa waliowasajili, naamini watawafikisha mbali kama timu.
Ila bado wanahitaji beki wa kati na golikipa. Ukitazama mabao waliofungwa, unaona kabisa ni makosa ya golikipa na mabeki.
Wakiwa na Kepa Wana takwimu mbovu zaidi kwenye Ligi za ukabaji wa corner.” Alisema Caragher
Kepa Arrizabalaga ndiye Kipa ghali zaidi duniani akiwagharimu Chelsea pauni 71.6 milioni kutoka Athletic Bilbao.
Chelsea wanatajwa kuongoza mbio za kumuwania Jan Oblak wa Atletico Madrid.
Kwa sababu ya thamani ya pesa yako, kwa kila muamala unaofanya wa kuweka pesa kwenye akaunti yako ya Meridianbet unapata 5% bonasi.


mwajumah
Asante kwa taarifa#Meridianbettz
Njiku
Arrizaballaga ni kipa mzuri sana ila sijui anafeli wapi hizi stuma anazo nae kipa wa man u de gea wanafanyaga game zinakuwa ngumu sana au kwa kuwa wanaona wao ndio bora sana au?kama arrizaballaga anaruhusu mepesi sana kama alivyo de gea
Antony Luseno
Nahisi uongozi wa blues ndo utakuwa na maamuzi sahihi
Ester jackson
Kweli kabisa kwa hasaivi timu ya Chelsea inachangamoto sana upande wa beki hamna na kipa kama mechi iliyo pita kati ya Chelsea & Liverpool ilikuwa ngumu sana kwa Chelsea lakini kutokana na kukoza watu wenye uwezo zaidi katika Pande hizo na kama wangekuwepo nafikiri mechi hiyo ingetoka suluhu au kushinda Chelsea lakini haikuwa hivyo kama watafanya marekebisho katika safu za walinda mlango na kipa itawafanya wafike mbali kocha Lampard Yuko vizuri kwa kweli anajitahidi.
caroline
aondoke tu kwanza nishamchoka
Angelina
Goodupdate
Magdalena
Kipa mzuri Sana na kaonesha mchango mkubwa Chelsea ata akiondoka watakuja kumkumbuka
Zeiyana
Chelsea wamekua wanaonesha sana uwezo wao lakini kipa anaonekana kama amechoka sana hawezi kupata matokea mazuri kama watabki naye kipa huyo
Fatina mfingi
Makal nzur
Adelta
Good news
Khadija
Aonde tu kwa maisha kokote#meridianbettz
Theckla
Nawakubali Sana
Latifa juma mohamed
Gud newz
felister
uongozi wa Chelsea ndo wenye maamuzi ya mwisho
Dorophina
Mbona ni kipa mzuri sana na ameisaidia Chelsea kwa kiwango fulani
Franky
Mapema sana ana enda wp tena ange tulia tulia apo Chelsea atoe toe maboko banaa…
Amani
Kinacho wakumba makipa kwa Sasa kutokana na maneno ya mashabiki wanapaswa kupata watu wasaikolojia naimani watarudi kwenye kiwango chake vizuri#meridianbettz
Lydia Emmanuel Magoti
Mbona nikipa mzuri tuu kwenyekazi unajua kunatuuma nyingi unaweza ukawaunafanya kaz badae ukaonekana aupo sahii ndio ivyo kwaiyo kunavitu vingi namakosa namakosa yake yanaweza kulekebishika
Leonard
Kepa bado yupo fiti
Rehema
Nawakubali sana
Sadick
Kepa alisajiriwa harakaharaka baada ya Golikipa namba moja kwenda Real Madrid#meridianbettz
Neema juma
Asante kwa kutujuza
Rose kapinga
Kepa yupo vizur tuu,lawama tuu za walimwengu Kama vipi aangalie maisha mengine mbele!
farida ahmadi
Wamsubirie kwanza wamuangalie kwa kipindi hiki
Salma ngende
Wako vizuri
Samiah
Nawakubali vzr sanaaa
Ernest
Zamu ya Kepa sasa kusepa Chelsea
Issa
Kepa asepe tu chelsea hapo kama pamemkataa sana labda mbinu za kocha
Fatuma kasomo
Nawakubali sn
Gabriel
Ni ngumu kwa kipind hich kupata mbadala wa kepa Kama akiondoka
Theonestina
Asanteni meridianbet kwa taarifa
Furahav
Habari nzuri
Hope mwaikuka
Itakavyokua sawa tu
marry
kwann aondoke bdo yuko vzr
Janeflora malisa
Uwamuz ni wake
Shafii
Kocha wa magolikipa anapaswa Sana kua bega kwa bega na kepa mazoezini na kuangalia mapungufu yake ila ni kipa bora na anahitaji mda tu.
Saupha mohamed
Good news
Saupha mohamed
Taarifa njema
Johnmary joel
Hayo ni maamuzi yake#meridianbett
Zuhura omary kindamba
Uwamuzi anao mwenyewe
sabrina
Aondoke tu amesababisha magoli mengi msimu huu
lombo
asante meridianbet kwa habar moto moto
devotha
asante kwa makala
Omary lukumbi
Good news kwa wapenzi wa Chelsea kusikia taarifa hzo kepa amekua kwenye kiwango.kibovu sana msimu huu
Genia Sikaluzwe
Maamzi ni yake mwenyewe
David Pere
Kama anajitambua asepe tu sababu EPL ishamshindaa Kama vipi arejee kwao tu anaweza kuonyesha kiwango kikubwa Kama zamani
warda
Ndo wakazane kusajili Vifaa vya Ukweli#Meridianbettz
Isaya massawe
Chelsea wanapaswa kusajili kipa mwingine kwaajili ya msimu ujao
aisha
Kepa nenda kaka maisha popote
Amiri Kayera
Ataft kwngn kiwang chak akilizsh
Povel
Gud