Klabu ya Leeds United imetuma ofa ya kutaka kumsajili winga wa Manchester United Daniel James wametuma ofa ya £12M ili wamsajili moja kwa moja au wawape kwa mkopo.
Daniel james ambaye alianza katika mchezo wa Jana dhidi ya Crystal Palace alitolewa katika kipindi cha pili baada ya kuonyesha kiwango kibovu na nafasi yake kuchukuliwa na kinda mwenzie Mason Greenwood.
James alinunuliwa kutoka Swansea city kwa kiasi cha £18M msimu wa 2018/19 huku akitabiriwa kufanya vizuri pale Old trafford.
Majeruhi yalimfanya mchezaji huyo kucheza chini ya kiwango kuanzia mwishoni mwa msimu ulioisha na kuanza kupoteza nafasi ndani ya kikosi cha Ole.
Matokeo ya jana ya United yanawafanya wafikirie upya juu ya mwenendo wao katika usajili katika dirisha hili huku Leeds wakitaka kumchukua Daniel.
Usajili wa Donny van de Beek unaonekana kuleta matokeo chanya Baada ya Jana kuwafungia United goli la kufutia machozi akitokea benchi kuchukua nafasi ya Paul Pogba.
SHINDA NA MERIDIANBET!
Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.
Rehema
Bonge la makala
Devotha
Asante kwa taarifa
jullie
good news
Antony Luseno
United wasikosee kumwachia Daniel aende leeda
caroline
daniel nenda tu Manchester mbona ni timu kubwa
Lydia Emmanuel Magoti
Mambo hayo Leeds naona wataki mzaa
Mwajumah
Leeds naona hawataki mzaa kabisa yan#Meridianbettz
Adelta
Mashabiki tunashukuru kwa makala nzuri@meridianbettz
Nasra
Asantee kwa makala
Dorophina
Daniel ni mchezaji mzuri tu man u wasimuachie kirahisi
Angelina
Leeds wako vizuri
Sauda
Leeds wapo vizuri
Tatu
Man u watamuuza tu Daniel kwa Leeds maana ashaaza kucheza vibaya aoneshi kiwango chake kama zamani
Zeiyana
Me naona wangempa nafasi yengine tu Daniel bado yupo vizuri tu na sio kumuacha haende
felister
aya sasa ngoja tuone man u wataweza kweli kumuachia daniel
Mwanahamisi
Leeds wapo vizuri
Ernest
James ndani ya Man U hana chake tena
aisha
James ni mchezaj mzuri sema majeruh yanamfany kiwango kishuke
WAZIRI
Asante meridian kwakutujuza
Gabriel
Daniel bado yupo vizuri tu na sio kumuacha haende
Hidaya
United wasimuachie daniel akaenda
Janeflora malisa
🔥🔥
Saupha mohamed
Good news
Hopemwaikuka
This news is so hot
Khadija
Habari njema#meridianbettz
Issa
Kinda alietabiriw kufany makubwa. Lakin mfumo umemkataa united
Amiri Kayera
Man U itafanya makosa km itamuachia
Povel
United wangempa muda james dan Kwan namatuin hanawez kupamban na kupata nafasi kikos cha kwanza
Rose kapinga
Mnamuachaje mchezaji mzuri hivyo
Asia Abdy
Wangempa nafasi
Neema
Leeds wako vizuri
Latifa juma mohamed
Gud news.
Theonestina
Habari njema
Elika
Ngoja tuone
David Pere
Man United wangempa muda james dan Kwan namatuin hanawez kupamban na kupata nafasi kikos cha kwanza
magdalena
united wakitaka waaribu kikosi wamuachie daniel
warda
Watuachie Daniel wetu#Meridianbettz
Fatina
Tunasubir tuone picha litaishia wapi!
Flomena
Good news
Leonard
Man u kaz wanayo
Zahara omary
Gud news
Salma ngende
Habari nzuri
Shani
Maajabu yaliyotegmew kwa James hayaonekan labda mfumo wa ole ajaukop
Bora aende kwengine labda parfomanc itakuepo
Sadick
Man ina orodha ndefu ya wachezaji ambao inatakiwa kuwauza ni pamoja na James, hana mchango wa maana#meridianbettz
Sabrina
Leeds wamekaza
Samiah
Leeds nawakubali