Mchezaji mahiri mzawa wa Australia, Aaron Mooy, 29, ameelekea nchini China kuchezea Shanghai SIPG baada ya kuagana rasmi na kikosi cha Brighton nchini Uingereza.
Mooy alisajiliwa na Brighton almaarufu ‘Seagulls’ kwa mkopo kutoka Huddersfield Town mnamo Agosti 2019. Uhamisho huo ulirasimishwa kwa mkataba wa miaka mitatu na nusu.
Akivalia jezi za Brighton, Kiungo huyo aliwajibishwa na kikosi hicho cha Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) mara 32 msimu huu wa 2019-20 na akafunga mabao mawili.
“Mooy amekuwa mchezaji bora katika kipindi hiki chote akiwa nasi. Uhamisho wake hadi China utamkuza zaidi kitaaluma,” akasema kocha wa Brighton, Graham Potter.
Shanghai SIPG kwa sasa wanashikilia nafasi ya kwanza kwenye msimamo wa jedwali la Ligi Kuu ya China (Chinese Super League).
Beti Mbio za Mbwa Mubashara
Hii ni rahisi zaidi! Hapa USHINDI unaupata kwa kuchagua mbwa anayeshinda mbio na machaguo mengine yenye odds tamu.
Povel
Kila la kheri MOOY maisha popote kikubwa kupamabana tu tutakumis Sana Epl
Rehema
Bonge la makala
Saupha mohamed
Good news
aisha
Maisha popote cha msingi ni mkwanja tu.
Mwanahamisi
Gud news
Venerose
Kazi popote
Isaya massawe
China hela ipoo
Omary lukumbi
Good news
Shafii
Msaka pesa popote pale kambii kila lakher mooy.
Fatina mfingi
Kazi ipo
Adelta
Kila la kheri uko uendapo
@meridianbett
Sauda
Kila la kheri Mooy..
Ernest
Hili ni pigo kwa wazee wa Fantasy mara nyingi amekuwa akitupa point kwenye Fantasy, Kila la kheri Mooy
Tatu
Mooy anaenda anaenda kufanya mapinduzi huko china
Gabriel
Aaron Mooy yuko vizur sana 👍
Agness
Habari njema
Lydia Emmanuel Magoti
Mombo mazuri hayo yausaji majembe tuu utua sehemu usika
magdalena
mooy nakutakia kila lenye kheri kwako
Amiri Kayera
Changamot mpya
Nasra
Gud news
Khadija
Maisha kokote#meridianbettz
Janeflora malisa
Good
Dorophina
Kila lakheri mooy maisha popote cha msingi ni kujituma
Furahav
Nenda kapambane.
Caroline
China kumenogaaaa
Mwajumah
Popote kambi Kila la kheri Mooy#Meridianbettz
Rehema
Habari njema
Samiah
Bonge la shavu
Hope mwaikuka
Kapambana mshkaj ni club nzur tu unayoenda
Shan
Safi kupiga hela mooy
jullie
asante kwa taarifa
Theonestina
Habari njema kwetu sisi mashabiki wa mpira
lombo
kapige pesa
Sadick
Klabu za China zimekuwa zikilipa mishahara mikubwa wachezaji kutoka Ulaya lkn bado haijaweza kuvutia majina makubwa ya wachezaji na haijawa na mvuto #meridianbettz
Issa
Mooy kapige pesa tu huko china
Genia Sikaluzwe
Habari njema
Rose kapinga
Kapambane ulete heshima!!!!
Faraja molell
Good news
Ester jackson
Bonge la maisha kwa wachezaji ambao wanasajiliwa China huwa wanalipya pesa nyingi sana kiasi kwamba wanapenda hadi kuwa RAIA wa china
Njiku
Kaenda kufata hela tu hamna lolote
Latifa juma mohamed
Mooy amekuwa mchezaji bora katika kipindi hiki chote akiwa nasi. Uhamisho wake hadi China utamkuza zaidi kitaaluma.
Frank P
Mooy kaenda kupiga pesa
neema hassan
Habari. njema
rama
safii sana
felister
kila la kheri mooy maisha popote
Devotha
Good newz
farida ahmadi
Safi Sana Mooy
Sabrina
Aende tu China wanalipa vzuri sn
Saupha mohamed
Good news
Janeflora malisa
Nice
Zeiyana
Kila la kheri mooy
warda
Huko ndo Anaenda kula Maisha
David Pere
Msaka pesa popote pale kambii kila lakher mooy.