Mwakinyo : Rekodi za Mzimbabwe Hazinitishi.


 

Bondia nyota nchini Hassan Mwakinyo amesema kamwe hatishwi na rekodi za Brendon Denes wa Zimbabwe katika pambano la ubingwa wa Afrika wa ABU wa uzito wa Superwelter.

Mabondia hao watapanda uliongoni Mei 28 kwenye ukumbi wa Next Door Arena, na rekodi zikionyesha Denes HAJAPOTEZA hata pambano moja na ameshinda kwa KO katika mapambano MATANO kati ya nane aliyocheza.

 

Mwakinyo amesema kwa sasa anajiandaa vyema na pambano hilo na lengo lake ni kuendeleza ushindi ili kuendelea kutawala mchezo huo:

“Niko katika mfungo wa Ramadhan lakini sio kigezo cha kuacha mazoezi, bado naendelea tena kwa nguvu zaidi lengo langu ni moja tu kuwapa raha Watanzania kwa ushindi.”

Mbali na pambano hilo bondia Ibrahim Class naye atazichapa na bondia Sibusiso Zingangwe wa Afrika Kusini, wakati bondia nyota Shabani Jongo atapigana na bondia kutoka Nigeria, Olanrewaju Durodora.


TENGENEZA FAIDA KUPITIA MCHEZO WA TITAN DICE UKIWA NA MERIDIANBET KASINO

Unapokuwa kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, huna sababu ya kucheza kwa mashaka. Titan Dice, ni mchezo unaweza kukupatia mamilioni kwa mzunguko mmoja!

SOMA ZAIDI

15 Komentara

    Mwakinyo yupo vinzur

    Jibu

    Mwakinyo anajiamini

    Jibu

    Nakukubali sana. Mwakinyo

    Jibu

    Mwakinyo yuko vizuri

    Jibu

    Yupo vizur

    Jibu

    Mwakinyo yuko vizur sana kwa sasa hii kutokana na kupigana mapambano mengi makubwa.

    Jibu

    Kujiamini ndiyo kila kitu

    Jibu

    Mwakinyo yupo vzr

    Jibu

    Tunataka ushind mwakinyo

    Jibu

    Yetu macho mashabiki

    Jibu

    Makwinyo yupo vizuri

    Jibu

    Mwakinyo jembe

    Jibu

    Yupo sahii

    Jibu

    Mwakinyo mtu mbaya

    Jibu

    Mwkinyo Yuko vzrii

    Jibu

Acha ujumbe