Klabu ya Chelsea imeazimia kushinda mbio za kumsajili mshambuliaji wa Tottenham, Harry Kane – kulingana na jarida la Football Insider.
Chelsea wanamtaka mchezaji huyo wa miaka 27, ambaye pia anahusishwa na Manchester United na Manchester City, kama lengo kuu mbele ya dirisha la uhamisho wa majira ya joto.
Kane anaripotiwa kuwa na thamani ya zaidi ya pauni milioni 100 ($ 140ml) lakini imependekezwa atashinikiza kuondoka Spurs ili kutimiza azma yake ya kombe.
Katika msimu huu harry kane amecheza mechi 32 katika mshindano yote akiwa na Tottenham na kufanikiwa kufunga magoli 21 baada ya kuanza msimu akiwa majeruhi.
TENGENEZA FAIDA KUPITIA MCHEZO WA TITAN DICE UKIWA NA MERIDIANBET KASINO
Unapokuwa kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, huna sababu ya kucheza kwa mashaka. Titan Dice, ni mchezo unaweza kukupatia mamilioni kwa mzunguko mmoja!
Venerose
Hongera sana Kane
Sania mapua
Kizuri chajiuza
Johnmary jo
Kila raheri chelsea
Elika
Hongera sana kane
Adelta
Kane ni jembe
Shafii
Ni mchezaji mzuri mzoefu atawasaidia sana Chelsea kwenye safu ya ushambuliaji.
Khadija
Hongera kane
Issa
Mchezaj mzur kwa chelsea
Shakila
Ongera zake
Saupha
Kane jembe
Amiri Kayera
Atawasadia sana
Sauda
Kane fundi
Caroline
Kane habari nyingine
Lydia Emmanuel Magoti
Kane yupo vizuri
aisha
Kane mtu mbaya
neema hassan
Habari njema