Klabu ya Chelsea imeazimia kushinda mbio za kumsajili mshambuliaji wa Tottenham, Harry Kane – kulingana na jarida la Football Insider.
Chelsea wanamtaka mchezaji huyo wa miaka 27, ambaye pia anahusishwa na Manchester United na Manchester City, kama lengo kuu mbele ya dirisha la uhamisho wa majira ya joto.
Kane anaripotiwa kuwa na thamani ya zaidi ya pauni milioni 100 ($ 140ml) lakini imependekezwa atashinikiza kuondoka Spurs ili kutimiza azma yake ya kombe.
Katika msimu huu harry kane amecheza mechi 32 katika mshindano yote akiwa na Tottenham na kufanikiwa kufunga magoli 21 baada ya kuanza msimu akiwa majeruhi.
TENGENEZA FAIDA KUPITIA MCHEZO WA TITAN DICE UKIWA NA MERIDIANBET KASINO
Unapokuwa kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, huna sababu ya kucheza kwa mashaka. Titan Dice, ni mchezo unaweza kukupatia mamilioni kwa mzunguko mmoja!
Hongera sana Kane
Kizuri chajiuza
Kila raheri chelsea
Hongera sana kane
Kane ni jembe
Ni mchezaji mzuri mzoefu atawasaidia sana Chelsea kwenye safu ya ushambuliaji.
Hongera kane
Mchezaj mzur kwa chelsea
Ongera zake
Kane jembe
Atawasadia sana
Kane fundi
Kane habari nyingine
Kane yupo vizuri
Kane mtu mbaya
Habari njema