Enzo Maresca Ateuliwa Kuwa Kocha Mkuu wa Manchester City
Manchester City F.C. imemtangaza rasmi Enzo Maresca kuwa kocha mkuu mpya wa klabu hiyo kwa mkataba wa miaka mitatu, akirejea katika timu hiyo baada ya kuwahi kuitumikia kama kocha msaidizi. …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Manchester City F.C. imemtangaza rasmi Enzo Maresca kuwa kocha mkuu mpya wa klabu hiyo kwa mkataba wa miaka mitatu, akirejea katika timu hiyo baada ya kuwahi kuitumikia kama kocha msaidizi. …
Manchester City wana imani kuwa Joško Gvardiol atasaini mkataba mpya utakaomuweka klabuni hadi mwaka 2031 kwa masharti yaliyoboreshwa, licha ya kuongezeka kwa nia kutoka Real Madrid. Beki huyo, ambaye anaweza …
Ripoti kutoka Italia zinadai kuwa beki wa kimataifa wa Uingereza, John Stones, ni miongoni mwa mabeki wanaozingatiwa na Juventus, huku Luciano Spalletti na benchi lake la ufundi wakitafuta kuimarisha kikosi …
Azma ya Nottingham Forest ya kupata kiasi kikubwa cha fedha kwa ajili ya Elliot Anderson imekuwa moja ya simulizi kubwa zaidi za dirisha la usajili la majira ya joto, huku …
Manchester, England Manchester City imeanza kwa mtihani mgumu katika juhudi zake za kumsajili kiungo wa Nottingham Forest na timu ya taifa ya England, Elliot Anderson, baada ya ofa yao ya kwanza …
Manchester City imeibuka kinara katika mbio za kuwania saini ya kiungo chipukizi wa Nottingham Forest, Elliot Anderson, huku vigogo wengine wa Ligi Kuu England, Manchester United na Arsenal, nao wakionyesha …
Nyota wa Aston Villa, Morgan Rogers, hana pingamizi lolote la kurejea Manchester City ikiwa atapewa nafasi hiyo, kwa mujibu wa ripoti ya TEAMtalk. Rogers alifunga mabao 10 katika Premier League …
Manchester City wako tayari kumuuza Nathan Aké huku akiwa amebakiza miezi 12 kwenye mkataba wake. AFC Bournemouth wanachunguza uwezekano wa kumrudisha beki huyo, wakati Marcos Senesi akihusishwa na uhamisho kwenda …
Beki wa kati wa klabu ya Manchester City, Ruben Dias, ameripotiwa kumuagiza wakala wake kuanza kutafuta uwezekano wa uhamisho wa kuondoka ndani ya dirisha hili la majira ya joto kufuatia …
Kocha wa zamani wa Manchester City, Pep Guardiola, ameaga rasmi klabu hiyo huku maelfu ya mashabiki wakijitokeza kushiriki gwaride la ubingwa lililogubikwa na hisia za huzuni na shukrani baada ya …
Mashabiki wa Manchester City wamemuaga kwa hisia kali kocha wao Pep Guardiola baada ya miaka 10 ya mafanikio makubwa ndani ya klabu hiyo, huku Uwanja wa Etihad ukigeuka kuwa sehemu …
Klabu ya Manchester City imethibitisha kuwa jukwaa jipya la Kaskazini ndani ya Uwanja wa Etihad Stadium sasa litajulikana kama “The Pep Guardiola Stand” kwa heshima ya kocha wao mkuu, Pep …
Manchester City wanaonekana kujiandaa rasmi kwa maisha mapya baada ya Pep Guardiola, huku taarifa zikieleza kuwa Enzo Maresca tayari ana makubaliano ya awali kuwa kocha mpya wa klabu hiyo kuanzia …
Kwa muujibu Gazeti la Mirror la nchini United Kingdom limeripoti kuwa kocha mkuu wa Manchester City F.C., Pep Guardiola, amewaambia mabosi wa klabu hiyo kuwa ataondoka rasmi mwishoni mwa wiki …
Pep Guardiola amesifu miaka yake kumi akiwa na Manchester City kama “ya kufurahisha sana” na akatania kuhusu safari zaidi za Wembley, huku City wakilenga kufanya FA Cup Final dhidi ya …
Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola anaripotiwa kuwa na uwezekano mkubwa wa kuondoka ndani ya klabu hiyo mwishoni mwa msimu huu licha ya timu hiyo kuendelea kupambana kutwaa taji la …
Manchester City wanamfanyia tathmini Rodri kabla ya mchezo dhidi ya Crystal Palace kutokana na tatizo la majeraha ya sehemu ya kinena (groin), huku Josko Gvardiol na Ruben Dias wakirejea mazoezini, na Nathan …
Manchester City na Everton wamelaani vitendo vya ubaguzi wa rangi vilivyowalenga Antoine Semenyo na Marc Guéhi baada ya sare ya 3-3 katika uwanja wa Goodison Park. Katika mchezo huo, Erling …
Pep Guardiola ambaye ni kocha wa Manchester City John amesema Stones anahisi “amepata nafuu” baada ya kuthibitisha kuondoka kwake, huku Bernardo Silva akiendelea kuwa imara bila kuathiriwa, wote wakibaki makini …
Beki wa John Stones anakabiliwa na uamuzi mgumu kuhusu mustakabali wake, akitafakari uwezekano wa kurejea katika klabu yake ya zamani Everton au kujiunga na moja ya vilabu vikubwa barani Ulaya …