Newcastle United Yapata Mmiliki Mpya.

 

Saudi Arabia Public Investment Fund wamekamilisha umiliki wa klabu ya Newcastle United kutoka kwa Mike Ashley kwa dau la Pauni Milioni 300.

 

MMiliki Mpya wa Klabu ya Newcastle United, Mohammed bin Salman

Premier League imedhibitisha ununuzi wa klabu hiyo siku ya jana na kusema wamepokea uhakika wa kisheria kwamba Ufalme wa Saudi Arabia hautadhibiti Newcastle United.

Habari za ndani za klabu hiyo zinasema, wamiliki hao wapya wanampango wa kubadili kocha wa sasa Steve Bruce kama kocha mkuu, lakini maamuzi hayo bado hayajafanywa.

Wamiliki wapya wa Newcastle, wanaomiliki Public Investment Fund (PIF), PCP Capital Partners na RB Sports & Media wana utajiri mara 10 wa tajiri wa Man City Sheikh Mansour Bin Zayed.

Mchezo unaofwata wa Newcastle United utakua dhidi ya Tottenham, tarehe 17 Oktoba na taarifa katika klabu hiyo zinasema tiketi zote kuelekea mchezo huo utakao kuwa wa kwanza kwa mmiliki mpya.


SPACE SPIN NA MERIDIANBET.

Ni Mabingwa pekee Meridianbet wanakupa nafasi ya kushinda zaidi na mchezo wa Space Spin katika kasino bomba za meridianbet. Ni wakati wa kufurahia na kutengeza mkwanja bila kuwaza.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA SASA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.