Mbio za Tokyo Marathon zimeahirishwa hadi Michezo ya Olimpiki ya Tokyo iliyoratibiwa upya kwa sababu ya corona, itapangwa upya hapo mwakani.
Hii ni kwa mujibu wa watayarishaji ambao wameshikilia kwamba ujio wa janga la corona utaendelea kuathiri kalenda za michezo mbalimbali kwa kipindi cha misimu kadhaa ijayo.
Awali, mashindano ya Tokyo Marathon yalikuwa yafanyike Machi 7, 2021 na yalitarajiwa kuwakutanisha zaidi ya wanariadha 38,000 duniani kote.
Hata hivyo, uchache wa watu wanaokubaliwa kuingia nchini Japan na ugumu wa kanuni zilizowekwa ili kudhibiti maambukizi zaidi ya corona sasa umechangia michezo hiyo kupangwa upya hadi Oktoba 17, 2021.
Haya ni kwa mujibu wa watarishaji na wadhamini wa mbio hizo, Tokyo Marathon Foundation.
Marathon kubwa duniani, isipokuwa ya London iliyojumuisha wanariadha wakubwa mnamo Oktoba 4, ziliahirishwa au kufutuliwa mbali kabisa kwa sababu ya corona.
Mbio za Tokyo Marathon mwaka huu wa 2020 zilifanyika Machi na zikihusisha wanariadha wachache zaidi katika historia – 200.
Kwa mujibu wa watayarishaji, hatua ya kuruhusu mashindano ya mwaka ujao kufanyika baada ya Olimpiki itawapa wanariadha nafasi nzuri zaidi ya kushiriki mbio hizo kwa wingi ila idadi ya watakaoshiriki bado haijaamuliwa.
Olimpiki za Tokyo, Japan zilizoahirishwa mwaka huu sasa zitaandaliwa mnamo Julai 23, 2021. Hata hivyo, tarehe hiyo huenda ikabadilishwa tena kutegemea viwango vya maambukizi na hali itakayokuwa imezuliwa na corona duniani kufikia wakati huo.
Sasa unaweza kuweka pesa moja kwa moja kwenye akunti yako ya Meridianbet kwa kutumia mtandao wa Airtel. Usipate wasi wasi, tunaifanya kazi kuwa rahisi zaidi!
Ernest
Mapambano dhidi ya Corona ni safari ndefu sana kwa ulimwengu, Mungu atufanyie wepesi
Gabriel
Duuuuh! Hatar sana nilitarajia kumuona eliud kipchonge ndan ya marathon akifanya maajab tena ya kuchukua medal tena but corona inapoteza raha ya michuano sana
Elika
Daah pole sana kwa hilo
Janeflora malisa
Corona ttz
Venerose
Duuh mbona majanga hayaishi
Lydia Emmanuel Magoti
Duu hali ishakuwa tete Mambo mengi huludi nyuma kukalishwa kwavitu vingi Sana Corona inalostisha sana
Sabrina
Duuh hii Corona hii nie shiida
Caroline
Hii corona hii tuombe tu Mungu
Neema
Corona tishioo kwa wenzetu
Angelina
Corona imeharibu kila kitu
Adelta
Pole Sana corona imeharibu Sana Mambo mengi hasa kwa ulimwengu wa soka
Tatu
Mungu aendelee kutuepusha na hili janga
Mwajumah
Daah hii corona ni changamoto sana
Rose kapinga
Kinga bora kuliko tiba!!!
Fatina mfigi
Hii Corona sio powah kwa kweli
aisha
Duuhh covid 19 imeharibu kila kitu
Sauda
Corona noma
Shani
Corona imekosesha mambo mengi
Zeiyana
Korona himearibu mambo mengi kweli daaah..!habari mbaya kwa mashabiki wa mbio za Marathon
Antony Luseno
Nakala nzuri #meridianbettz
Hidaya
Corona bado ni janga duniani
Povel
Duh majanga ya covid 19
Issa
Covid imefanya michezo kukosa radha
felister
mungu awasaidie jamani na hili gonjwa
lombo
corona shida
Amiri Kayera
Michez mingi imeahilishwa kutokan na janga hili
Nasra
Corona hatari
Fatuma kasomo
Mungu awaepushie nahilo gonjwa
Saupha mohamed
Daah corona inafelishwaa kweli
latifa juma mohamed
Mapambano ya corona ni safar ndefu wakati mwngn unaweza kufananisha na bahari cjui lini itakimbia duniani, ulimwengu inabid imgeukie mung kwa maomb Zaid.
Genia Sikaluzwe
Mhhh corona siyo poa
magdalena
dah sasa hii balaa shindano tulikuwa tunalisubiri kwa hamu kubwa sana hii corona balaa tupu
Salma ngende
Duh corona inazingua
Rehema
Covid 19 inatisha
Khadija
Mh!!!corona shida