Wijnaldum Aondoka PSG na Kwenda Klabu ya Al-Ettifaq Huko Saudia

Paris St Germain wametangaza kuondoka kwa Georginio Wijnaldum kwenda kwa klabu ya Saudi Arabia Al-Ettifaq.

 

Wijnaldum Aondoka PSG na Kwenda Klabu ya Al-Ettifaq Huko Saudia

Wijnaldum amekubali kandarasi ya miaka mitatu na klabu hiyo inayonolewa na kocha wa zamani wa Rangers na Aston Villa Steven Gerrard.

Aviator, poker, Roullette, Wild Icy Fruits, Piggy Party na mingine kibao upige pesa na Meridianbet. Ingia www. meridianbet.co.tz.

Kiungo huyo mwenye umri wa miaka 32 alijiunga na mabingwa hao wa Ligue 1 kwa uhamisho wa bure kutoka Liverpool Julai 2021, lakini alikaa msimu uliopita kwa mkopo katika klabu ya Serie A ya Roma.

Wijnaldum Aondoka PSG na Kwenda Klabu ya Al-Ettifaq Huko Saudia

Taarifa kwenye tovuti rasmi ya PSG ilisema: “Kiungo wa kimataifa wa Uholanzi, Georginio Wijnaldum amejiunga na klabu ya Al-Ettifaq FC ya Saudi Arabia kwa uhamisho wa kudumu. Klabu ingependa kumtakia kila la heri Georginio katika maisha yake yote.”

Wijnaldum, ambaye ameichezea Uholanzi mara 90, anakuwa mchezaji wa hivi punde zaidi kusajiliwa na klabu ya Saudi Pro League msimu huu wa joto.

Odds kubwa kasino ya mtandaoni na michezo ya sloti ni vitu vinavyoweza kubadilisha maisha yako kwa kukupatia pesa nyingi. Ingia mchezoni hapa.

Wijnaldum Aondoka PSG na Kwenda Klabu ya Al-Ettifaq Huko Saudia

Ataunganishwa tena Al-Ettifaq na Jordan Henderson, ambaye alikuwa nahodha wa Liverpool hadi Ligi ya Mabingwa na mafanikio ya Ligi Kuu wakati walipokuwa Anfield pamoja.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.