Moyes: Refa Aliamua Vibaya.

Kocha wa timu ya Westham United David Moyes amesema kuwa mwamuzi aliyekuwa akichezesha mechi kati yao na Chelsea aliamua vibaya uamuzi wa kulikataa goli la kusawazisha  ambalo walifunga katika kipindi cha pili.

Moyes: Refa Aliamua Vibaya.

Moyes amesema kuwa goli hilo hakuona kama mchezaji wake alimchezea madhambi golikipa wa Chelsea Mendy, hivyo maamuzi ya refa kulikataa goli hilo ni kuwa amekosea ambapo mechi hiyo ilimalizika kwa Westham kupoteza kwa mabao 2-1.

Westham ambayo jana walikuwa ugenini wamekuwa hawana matokeo mazuri toka walipoanza ukilinganisha na msimu uliopita kwani walikuwa wapo imara zaidi na walileta ushindani ndani ya ligi lakini mpaka sasa wamekuwa wa baridi sana.

Moyes: Refa Aliamua Vibaya.

Moyes na vijana wake ndani ya michezo sita wameshinda mmoja, sare moja na wamepoteza michezo minne kitu ambacho sio kawaida kwa wagonga nyundo hao wa London. Sasa wanapoteza mechi kila kukicha wakijitahidi wanapata sare.

 

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.