Mbeya City Anamkaribisha Tanzania Prisons Kesho

Klabu ya Mbeya City baada ya kutoka kutoa sare mchezo uliopita, kesho anamkaribisha Tanzania Prisons katika mchezo wao wa 18 wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara majira ya saa 10:00.

 

Mbeya City Anamkaribisha Tanzania Prisons Kesho

Mbeya City amecheza mechi 7 mfululizo bila kupata pointi 3, huku kati ya hizo mechi amepoteza mbili. Mechi ya mwisho kushinda ilikuwa ni tarehe 4 Novemba aliyocheza dhidi ya Namungo.

Tanzania Prisons yupo nafasi ya 11 baada ya michezo 17 aliyocheza, akishinda mechi zake nne, sare sita na kupoteza mara saba hadi sasa, huku akijikusanyia pointi zake 18 tuu.

Mbeya City Anamkaribisha Tanzania Prisons Kesho

Mbeya City yupo nafasi ya 10, wakiwa wametofautiana pointi tatu pekee huku Wanakoma Kumwanya wakikusanya pointi zao 21 baada ya michezao 17 waliyocheza, ushindi wamepata mara nne, sare 9 na kupoteza mara nne.

Mechi 5 za mwisho kukutana kati ya hizi timu mbili wameenda sare mara nne huku mechi moja Mbeya akiibuka na ushindi mwembamba. Je kesho nani kuondoka na pointi 3 au ni kugawana pointi tena?

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.