Yanga Yaungana na Simba

Klabu ya Yanga imeungana na Simba kwa kuaga mashindano ya Mapinduzi Cup baada ya kutoa sare ya 1-1 kwenye mchezo ambao ulipigwa hapo jana walipokuwa wakicheza dhidi ya Singida Big Stars.

 

Yanga Yaungana na Simba

Yanga ameondolewa kwa tofauti ya mabao ya kufunga na kufungwa ambapo wanachi wana bao moja wakati kwa upande wa Singida wao wana faida ya mabao mawili lakini wote wana pointi 4.

Baada ya sare hiyo Young Africans ya Nabi wataanza safari ya kurejea jijini Dar es Salaam kwaajili ya kujiandaa na mazoezi ya mechi zinazofuata ikiwemo dhidi ya Ihefu ambao ndio waliwafunga mechi yao ya kwanza.

Yanga Yaungana na Simba

Wakati wao Singida Big Stars hatua ya nusu fainali watamenyana dhidi ya Azam fc ambao ndio mabingwa mara nyingi wa Kombe hili akifuataiwa na Simba.

 

 

Makala iliyopita

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.