Bayern Munich Imekamilisha Usajili wa Yann Somer

Klabu ya Bayern Munich ya Ujerumani imekamilisha usajili wa golikipa wa Borussia Monchengladbach Yann Sommer.

 

Bayern Munich Imekamilisha Usajili wa Yann Somer

Sommer atatia saini mkataba unaotumika hadi Juni 2025 kwa kuwa vipimo vya afya tayari vimeshafanyiwa kazi juu ya mlinda mlango huyo..

Bayern watalipa €8m pamoja na nyongeza za €1.5m, kama alivyoripoti Blick Yann Sommer atafanyiwa vipimo na kisha kutambulishwa kama mbadala wa Manuel Neuer ambaye aliumia baada ya kutoka kombe la Dunia.

Bayern Munich Imekamilisha Usajili wa Yann Somer

Klabu hiyo ambayo ipo chini ya kocha Julian Nagelsmann wanatarajia kucheza mchezo wao wa kwanza baada ya Kombe la Dunia hapo kesho dhidi ya Rb Leipzig huku Munich wakiwa kileleni mwa msimamo.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.