Pavard Aipiga Chini Ofa ya Manchester United

Kwa mujibu wa gazeti la La Gazzetta dello Sport, Benjamin Pavard amepuuza ofa ya Manchester United, wakati Inter wanaweza kuinasa saini yake leo.

 

Pavard Aipiga Chini Ofa ya Manchester United

The Nerazzurri wameongeza ofa yao kwa Bayern Munich na kwa mujibu wa vyanzo kadhaa nchini Italia, wana uhakika wa kumsajili beki huyo wa Ufaransa hivi karibuni.

Odds kubwa kasino ya mtandaoni na michezo ya sloti ni vitu vinavyoweza kubadilisha maisha yako kwa kukupatia pesa nyingi. Ingia mchezoni hapa.

La Gazzetta dello Sport inadai klabu hizo mbili zinaweza kupeana mikono leo, ingawa Bayern Munich bado wanahitaji kupata mbadala wa mshindi huyo wa Kombe la Dunia 2018.

Pavard Aipiga Chini Ofa ya Manchester United

Pavard anataka kuondoka na mkataba ukiisha Juni 2024, hii itakuwa nafasi ya mwisho kwa Bayern kumuuza mchezaji huyo kwa ada nzuri ya uhamisho. Kwa mujibu wa Gazzetta, Pavard ametanguliza kuhamia Inter, akikataa ofa kutoka kwa Manchester United.

Aviator, poker, Roullette, Wild Icy Fruits, Piggy Party na mingine kibao upige pesa na Meridianbet. Ingia www. meridianbet.co.tz.

Beppe Marotta alithibitisha Jumamosi kwamba mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27 anataka kujiunga na Nerazzurri huku mpatanishi Giovanni Branchini akidai kuwa kitu pekee kinachokosekana kufunga mkataba huo ni Bayern Munich kusajili beki mpya wa kulia kuchukua nafasi ya beki huyo wa Ufaransa.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.