Joachim Loew, Oliver Bierhoff - Hatuna Wasiwasi na Muelekeo wa Timu.


Mashindano ya UEFA ya Ligi ya Mataifa hayaonekani kuwaendea vyema Ujerumani. Hawajashinda mechi hata moja katika michezo sita lakini Kocha Joachim Loew ana matumaini kuwa hilo litabadilika hivi karibuni.

Loew ameahidi kuleta kandanda la kushambulia zaidi ambalo litawapa ushindi wao wa kwanza kabisa wa Ligi ya Mataifa, baada ya kutoka sare ya 1 – 1 na Uswisi jana usiku.

Ujerumani ilitoka sare mbili na kupoteza mbili kati ya mechi zao za ufunguzi wa Ligi ya Mataifa miaka miwili iliyopita na wametoka sare mechi mbili za 1 – 1 msimu huu, dhidi ya Uhispania na kisha Uswisi.

 

Joachim Loew, Oliver Bierhoff - Hatuna Wasiwasi na Muelekeo wa Timu.

Matokeo hayo yanazusha manung’uniko ya kushuka kwa kiwango cha timu ya taifa ya Ujerumani lakini Loew na mkurugenzi wa timu Oliver Bierhoff anasema hakuna haja ya kuwa na wasiwasi

Kwanza kabisa, tuna furaha sana kuwa sasa, baada ya muda huu mrefu Zaidi bila kuwa na timu ya taifa, tumejumuika pamoja tena. Na bila shaka tunataka kuleta tena furaha ya timu ya taifa.

Ingawa tunafahamu watu wana mawazo tofauti na wasiwasi. Lakini tunatumai kuwa wanasubiri kuiona timu yetu ya taifa. Bila shaka tunataka pia kucheza kandanda la kuvutia, la kujituma na lenye mafanikio.

Lakini pia kikosi cha Ujerumani kina wachezaji chipukizi ambao ndio sasa wanapata uzoefu wa kushiriki katika mashindano ya kimataifa kitu ambacho Bierhof anasema matunda yake yataonekana katika siku za usoni.

 

Joachim Loew, Oliver Bierhoff - Hatuna Wasiwasi na Muelekeo wa Timu.

Kwetu ni muhimu kutengeza timu mpya ya chipukizi, kuipa nafasi ikue, kumpa mchezaji mmoja au mwingine fursa ya kupata uzoefu zaidi wa mechi za kimataifa. Changamoto ni kuwa makocha hawawezi kuwa na muda wa kufanya kazi na timu.

Oktoba na Novemba tuna mechi tatu katika siku nane hadi kumi. Hiyo ni changamoto kubwa. Unaweza tu kufanya mazoezi mara tatu au nne pekee, kama ilivyo sasa tu.

Najaribu kuwasilisha mawazo na filosofia kwa wachezaji katika kipindi kifupi. Lakini tuna furaha sana.

Mechi za Kundi A4 zitaendelea Oktoba 10 wakati Ujerumani itacheza ugenini dhidi ya Ukraine, ambao wako katika nafasi ya pili na pointi tatu baada ya kuwalaza Uswisi nyumbani.

Joachim Loew, Oliver Bierhoff - Hatuna Wasiwasi na Muelekeo wa Timu.

Ujerumani wataialika Uswisi mjini Cologne siku tatu baadaye. Kisha Novemba 14 Ujeurumani itacheza na Ukraine mjini Leipzig na kukamilisha mechi za makundi kwa kupambana na vinara wa sasa Uhispania Novemba 17.

Katika mechi hizo, kocha Loew anaweza kuwaweka kikosini nahodha Manuel Neuer, aliyepumzishwa pamoja na wenzake wa Bayern Munich Joshua Kimmich, Leon Goretzka na Serge Gnabry baada ya kushinda Ligi ya Mabingwa Agosti 23.


SHINDA NA HI LO

Sasa hii ni rahisi zaidi kupata USHINDI! Unatabiri karata ipi ipo chini au juu, kisha unakusanya mkwanja wako.

Cheza Sasa.

44 Komentara

    ukiona mpka kusema ivyo wamejipanga vyema sana

    Jibu

    Ujerumani inabidi wafanye jitihada za ziada ili kuweka mambo sawa vinginevyo watakua na rekodi mbaya!!!

    Jibu

    mhh achatuone mwenendo wa timu utakuwaje

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Sasa huu muda muafaka wakutuonesha mabadiliko yao ujerumani

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Timu ipo vizuri

    Jibu

    Kocha Joachim Loew aling’ang’ania wazee tangu mwaka 2014 sasa amebadilika na kuwaweka vijana, wanahitaji muda zaidi kuwa pamoja kupata uzoefu#meridianbettz

    Jibu

    Tunasubir mabadiliko

    Jibu

    Kocha Yuko vizuri#meridianbettz

    Jibu

    Asante kwa makala

    Jibu

    Acha tuone itakavyokuwa

    Jibu

    Naona wamejipanga

    Jibu

    Ukiona hvy mambo mazur

    Jibu

    Ni kocha mzur na anajiamin anachokifanya

    Jibu

    Acha tuone itavyokua#Meridianbettz

    Jibu

    Kwakweli wamejipanga

    Jibu

    Kocha yupo vizuri anachokifanya kipo sahihi

    Jibu

    Tunasubilia mabadiliko mashabiki

    Jibu

    Germany ni timu safi

    Jibu

    Upande wa timu ya taifa ya German haiko vzur labda upande wa ligi tunaona kuwa inafanya vzur sana kwa mujibu wa Kocha Joachim Loew ana matumaini kuwa hilo litabadilika hivi karibuni inabid apate muda wa kupanga kikosi vzur

    Jibu

    Vizuri kuwapata chipukizi nafasi

    Jibu

    Tunataka kuona mabadiliko ya tim msitufokee

    Jibu

    Mpenz mtazamaj nipo

    Jibu

    ujermani mpya inatengenezwa na kizaz kipya
    maneno ya kocha wa ujermany akizungumzia hali ya sasa ya ujermany

    Jibu

    Wako vizur Sana

    Jibu

    Tunahitaji mabadiliko sasa kwenye timu

    Jibu

    Asante kwa makala nzuri

    Jibu

    Yangu machoo

    Jibu

    Timu iko vizuri sana

    Jibu

    WamejipNga hao

    Jibu

    Hapo sual la muda ujerumani mashine timu mpya ile

    Jibu

    Wamejipanga vizuri

    Jibu

    wanahitaji muda zaidi kuwa pamoja kupata uzoefu

    Jibu

    Natumai wamejipnga Zaid.

    Jibu

    ujerumani inabidi wafanye jitihada za ziada ili kuweka mambo sawa

    Jibu

    Wamejipanga kiukamilifu

    Jibu

    Germany imepoteza sana Radha sio ile Germany tulioizoea, Bado wanakazi kubwa sana kwenye kusuka kikosi

    Jibu

    Kocha wa Germany anawapa moyo wachezaji wake ili wasifanye vibaya mbeleni

    Jibu

    Wamejipanga vizuri

    Jibu

    Mambo hayo ndio tunayoyapenda kuyasikia. Wako vzr

    Jibu

    Imekaa poa hii.

    Jibu

    Upande wa timu ya taifa ya German haiko vzur labda upande wa ligi tunaona kuwa inafanya vzur sana kwa mujibu wa Kocha Joachim Loew ana matumaini kuwa hilo litabadilika hivi karibuni inabid apate muda wa kupanga kikosi vzur

    Jibu

    Usipo jiamini utapotea bola Kocha huyu anajiamini

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.