Sven Asaini FAR Rabat ya Morocco.


Aliyekuwa Kocha wa Simba SC Sven Vanderbroeck (41) rai wa Ubelgiji amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia club ya FAR Rabat ya Morocco.

Sven amesaini mkataba huo kurithi nafasi ya kocha Abderrahim Talib aliyefukuzwa kazi na klabu hiyo.

 

Taarifa hizo zinakuja ikiwa ni siku mbili zimepita toka Sven atangaze kuondoka Simba SC kwa madai ya kuwa anaenda kuwa karibu na familia yake.

Kocha huyo aliiongoza Simba SC katika mechi 55 akipata ushindi mara 39, sare 10 na kupoteza 6. Simba kwa sasa ipo katika nafasi ya pili katika msimamo ikiwa na alama 35 na michezo 3 ambayo haijacheza.

Tetesi za chini chini zinasema Klabu hiyo inamtaka aliyekuwa kocha wa Al Ahly aliyetimuliwa mwaka huu, Rene Weiler, 47.


JIUNGE NA FAMILIA YA MERIDIANBET BURE!!!!

Ndio, kwetu Mteja ni mfalme. Jiunge sasa na familia ya Meridianbet bila malipo yeyote na sisi tutakuzawadia bonasi ya shilingi 3,500 kama sehemu ya kukukaribisha kwenye familia hii BURE!!!. Unasubiri nini??

BOFYA HAPA

23 Komentara

    Vizuri kila La kheri kwake

    Jibu

    Kila lakheri ila simba wamepoteza kocha mzuri

    Jibu

    Daaah Simba watammic Sana kocha mzuri Sana.

    Jibu

    Simba imepoteza mtu

    Jibu

    Simba watajutia maamuzi yao

    Jibu

    Aisee aina jins

    Jibu

    Wanasimba hawatajuta kwani wameanza na yeye atakuja bora kuliko

    Jibu

    Simba wamepoteza kocha mzuri

    Jibu

    Jamani tulishamzoea wakati akiwa Simba kila lakheri huko aendako.

    Jibu

    Kila kheri

    Jibu

    Kila la kheri kwake

    Jibu

    Kila la kheri sven

    Jibu

    Kazi kazii

    Jibu

    Kila la heri

    Jibu

    Kila la kheri, Anachangamkia kupiga mkwanja

    Jibu

    duuh

    Jibu

    Maisha popote lakiniiii!!!.

    Jibu

    Simba wameshafeli watafungwa kama nini

    Jibu

    Kila la kheri

    Jibu

    Hongera kwake

    Jibu

    Ndo kilichomkimbiza kwenda huko rabit

    Jibu

    Habar njema

    Jibu

    Hongera Sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.