Partey Arejea Kuivaa Newcastle.


 

Kocha wa Arsenal, Mikel Arteta amefichua mpango wa kumchezesha kiungo Thomas Partey katika kikosi cha kwanza atakachokitegemea kwenye mchezo wa kombe la FA.

Arsenal wataanza kutetea ufalme wa Kombe la FA kwa kualika Newcastle United uwanjani Emirates leo usiku wakiwa na Partey.

 

 

Arsenal wana rekodi nzuri dhidi ya Newcastle wakiwa wameshinda kwa 3-0 katika mechi zote tatu zilizopita za Kombe la FA. Mechi hizo ni za raundi ya tano mnamo 1936, robo-fainali mnamo 2002 na raundi ya nne mnamo 2008.

Arsenal waliondolewa katika raundi ya tatu ya Kombe la FA mara moja pekee katika kipindi cha misimu 24 iliyopita, na hiyo ilikuwa dhidi ya Nottingham Forest mnamo 2017-18.


JIUNGE NA FAMILIA YA MERIDIANBET BURE!!!!

Ndio, kwetu Mteja ni mfalme. Jiunge sasa na familia ya Meridianbet bila malipo yeyote na sisi tutakuzawadia bonasi ya shilingi 3,500 kama sehemu ya kukukaribisha kwenye familia hii BURE!!!. Unasubiri nini??

BOFYA HAPA

22 Komentara

    Habari njema kwa mashabiki wa arsenal

    Jibu

    Gud news.

    Jibu

    Partey moto

    Jibu

    Fresh

    Jibu

    Ni 🔥🔥🔥

    Jibu

    Inapendeza Sana

    Jibu

    Ni maamuzi mazuri kwake na mashabiki wake.

    Jibu

    Arsenal wako vizuri sana

    Jibu

    Habari nzuri kwa mashabiki wa Arsenal

    Jibu

    Inapendeza sana

    Jibu

    All the best..

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Itakuwa vizuri sana

    Jibu

    ok

    Jibu

    Nimeipenda hiyo

    Jibu

    Imekaa powa sana

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Safii

    Jibu

    Good

    Jibu

    Itakuwa poa sana

    Jibu

    Habar njema;

    Jibu

    Safi

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.