Samatta Arejea kwa Kishindo Europe.

 

Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta amefunga bao lake la kwanza ndani ya kikosi Cha Royal Antwerp ya Ubelgiji katika mchezo wa Kombe la Europe dhidi ya Olympiakos ya ugiriki.

 

Hili linakua goli lake la kwanza kwa klabu hiyo tangu ajiunge nayo akitokea klabu ya Fenerbahce FC ya Uturuki katika majira ya kiangazi.

Samatta anakuwa Mtanzania wa kwanza kufunga bao katika Michuano hii mikubwa Ulaya baada ya kufanya hivyo UEFA Champions League akiwa na Genk ya nchini Ubelgiji.

Olympiacos 2-1 Royal Antwerp 🇧🇪

⚽ 52′ Youssef El Arabi
⚽ 75′ Mbwana Samatta
⚽ 87′ Oleg Reabciuk
🟥 90+1′ Jelle Bataille


MKWANJA NJE NJE NA DISCO FUNK

Unaanzaje siku yako na kuimaliza bila kupitia katika kasino bomba za meridianbettz, mchezo mashuhuri wa Disco Funk unaweza kukufanya uwe mshindi leo hii.!

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.