Moyes Amshutumu Solskjaer Usajili wa Lingard.

 

Meneja wa West Ham, David Moyes amemshutumu meneja mwenza wa Manchester United, Ole Gunnar Solskjaer kumzuia kiungo Jesse Lingard Kurejea kwa wagonga nyundo hao.

 

Jesse Lingard akichezea West Ham kwa mkopo msimu uliopita na klabu hiyo ilijaribu kumsajili akitokea united kwa mkataba wa kudumu katika dirisha la usajili lililopita.

“Ole aliweka wazi kwangu, mapema sana kabla ya dirisha la usajili kuanza kwamba anahitaji abaki katika timu hiyo, alisema Moyes.

” Kwahiyo nilijua vizuri mapema kwamba katika dirisha la usajili atabaki Manchester United. Nilikuwa na maongezi binafsi pamoja na Ole aliweka wazi kwamba atabaki.”

Lingard akiwa chini ya Moyes msimu uliopita kuanzia January 2021 amefanikiwa kucheza mechi 16 akifunga magoli 9 na ku assist mengine 4.


MKWANJA NJE NJE NA DISCO FUNK

Unaanzaje siku yako na kuimaliza bila kupitia katika kasino bomba za meridianbettz, mchezo mashuhuri wa Disco Funk unaweza kukufanya uwe mshindi leo hii.!

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.