Kocha wa Arsenal, Mikel Arteta ameshinda tuzo ya kocha Bora wa Mwezi Septemba wa Ligi Kuu nchini England, baada ya kuiongoza Gunners kushinda mechi zote tatu za mwezi huo.
Arteta anachukua tuzo hii kwa mara ya kwanza, akiwashinda Pep Guardiola, Jurgen Klopp, Graham Potter na Dean Smith waliokuwepo kwenye kinyang’anyiro hicho.

Wakati huo Mshambuliaji wa Manchester United, Cristiano Ronaldo ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Septemba wa Ligi Kuu ya England – EPL.
🏟 Mechi: 3
⚽ Magoli: 3
SPACE SPIN NA MERIDIANBET.
Ni Mabingwa pekee Meridianbet wanakupa nafasi ya kushinda zaidi na mchezo wa Space Spin katika kasino bomba za meridianbet. Ni wakati wa kufurahia na kutengeza mkwanja bila kuwaza.


