Demba Ba Astaafu Kucheza Soka.
Mashabiki wa Newcastle United, West Ham United na Chelsea wanamkumbuka vizuri mchezaji wao wa zamani, Demba Ba. Ba ameamua kustaafu kucheza soka. Akiwa na umri wa miaka 36 kwa sasa, …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Mashabiki wa Newcastle United, West Ham United na Chelsea wanamkumbuka vizuri mchezaji wao wa zamani, Demba Ba. Ba ameamua kustaafu kucheza soka. Akiwa na umri wa miaka 36 kwa sasa, …
Nyota wa zamani wa Chelsea na Timu ya taifa ya Ivory Cost, Didier Drogba amempongeza mchezaji wa Instanbul Basaksehir, Demba Ba baada ya tukio la ubaguzi wa rangi katika mchezo …
Kocha wa klabu ya Manchester City Pep Guardiola ameomba radhi kutokana na kauli aliyoitoa siku chache zilizopita kuhusu nahodha wa zamani wa klabu ya Liverpool Steven Gerrard. Kocha Guardiola alizungumza …
Tetesi zinasema, Newcastle huenda wakatumia hadi pauni milioni 190 kumpata mshambuliaji wa Tottenham na England Harry Kane, 28, na mshambuliaji wa Ufaransa Kylian Mbappe, 22. Tetesi zinasema, Kocha wa …
Tetesi zinasema, Manchester City inatayarisha dau la £150m kumsajili mshambuliaji wa England Harry Kane, 28, kiasi hicho huenda kikatosha kuishawishi Tottenham na mwenyekiti Daniel Levy kuanza mazungumzo. Tetesi zinasema, …
Mchezo wa Ligi ya Mabingwa ya Paris Saint-Germain dhidi ya Istanbul Basaksehir ulicheleweshwa Jumanne kutokana na madai ya ubaguzi wa rangi na tayari umepangwa kuchezwa tena siku ya Jumatano. Mchezo …
Kocha wa Manchester United, Ole Gunnar Solksjaer, amesema makosa yaliyofanywa na mabeki wake yaliyosababisha wafungwe bao 2-1 na Instanbul Basaksehir katika Ligi ya Mabingwa Ulaya si ya kusameheka. Mabeki wa …
Je, ni Ba? Mane? Cisse? Kuna wachezaji wazuri sana kutokea Afrika Magharibi ambao wamepamba sana michuano ya Ligi Kuu ya Uingereza. Hakika wana vipaji vikubwa sana na wameweza kufanya vyema …