Kikosi cha kocha Jurgen Klopp kilifanikiwa kupata jumla ya alama 99, moja zaidi kuliko zile walizojizolea katika msimu wa 1978-79.
Mabingwa Liverpool walikamilisha kampeni za Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) kwa idadi kubwa zaidi ya alama katika historia yao ya kushiriki kivumbi hicho baada ya kutoka nyuma na kuwazamisha Newcastle United 3-1 uwanjani St James’ Park siku ya Jumapili.

Liverpool ya Klopp iliweka pengo la alama 18 kati yao na nambari mbili Manchester City waliowaponda Norwich City 5-0 katika mchuano wao wa mwisho wa msimu huu uwanjani Etihad.
Liverpool ambao walijizolea alama 97 mnamo 2018-19, walifikia pia rekodi ya Man-City ambao hadi mwanzoni mwa msimu wa 2019-20, walikuwa wakijivunia kushinda idadi kubwa zaidi ya mechi katika msimu mmoja; yaani 32 katika msimu wa 2017-18 na 2018-19.
Hata hivyo, Liverpool walishindwa kufikia rekodi ya Man-City ambao walikamilisha msimu wa 2017-18 wakijivunia pengo la alama 19 kati yao na nambari mbili Machester United.
Man-City walifunga kampeni zao za msimu huo kwa alama 100, mbili kuliko za muhula wa 2018-19.

Nyota Dwight Gayle aliwaweka Newcastle kifua mbele baada ya dakika 25 pekee za ufunguzi wa kipindi cha kwanza baada ya kukamilisha kwa ustadi mpira wa ikabu uliochanjwa na Jonjo Shelvey.
Vijana wa Klopp walianza mechi hiyo kwa kuwaweka benchi wavamizi wao watatu wakuu yaani Mohamed Salah, Sadio Mane na Robert Firmino; walisawazishiwa na beki Virgil van Dijk aliyefunga kwa kichwa kunako dakika ya 38.
Divock Origi aliwaweka Liverpool kifua mbele kunako dakika ya 59 baada ya kushirikiana vilivyo na beki Andrew Robertson kisha Mane akazamisha kabisa chombo cha wenyeji wao mwishoni mwa kipindi cha pili.
Nini kinachokupa raha kama michezo ya kasino ya mtandaoni? Hasa unapojua kuwa kuna ushindi, jackpot na mizunguko kibao ya bure.
Ungana na bwana Meridian kupata ushindi na burudani.


Neema juma
Asante kwa taarifa
devotha
asanteni #meridianbettz kwa taarifa
Isaya massawe
Kwa kupata alama 99 pia siyo mbaya
Khadija
Duuh!!!kweli kaponea chupu chupu#meridianbettz
Magdalena
Duh ilikuwa hatar
Fatina mfingi
Makal nzur
felister
kajitaidi kiasi chake
Adelta
Asante kwa makala nzuri
@ meridianbettz
Lydia Emmanuel Magoti
Kwakweli waliponea chupu chupu klopp alikuwa mguu njee mguu ndani
aisha
Hongera sana klopp wewe ni fundi na pia ni bingwa kwa kupata alama 99 na pia wanatakiwa makocha wengine waige kutoka kwako
Ernest
Kama Liverpool wangevuka alama 100 msimu huu ingekuwa vizuri zaidi lakini sio mbaya wameshakata uhaba wa kombe la ligi baada ya muda mrefu ni jambo la kufurahia zaidi.
Ester jackson
Kwakweli kama Liverpool wangevuka kwa alama 100 kocha wao angetamba sana heri tu wamekosa mana ingekuwa hatari
mwajumah
Asante kwa taarifa#Meridianbettz
Furahav
Kwa kweli liverpool naikubali sana.
Mwanahamisi
Liverpool Yuko vizuri
Issa
Kloop hafai
Zuhura omary kindamba
Asante kwa makala nzuri
Gabriel
Habar njema
sabrina
Liverpool wako vizuri
Tatu
Makala nzuri
Fatuma kasomo
Asante kwa taarifa
Christa
Wamejitahidi sana, japo haeakupata alama 100
lombo
asante meridianbet kwa habar moto moto
Hope mwaikuka
Taarifa imeeleweka
Saupha mohamed
Makala nzurii
Genia Sikaluzwe
Kafanya vizuri kiasi chake
Sadick
Liverpool imekuwa na msimu mzuri, tulitarajia itavunja record ya kufikisha zaidi ya point 100#meridianbettz
Theckla
Namkubali Sana klopp
Rose kapinga
Sio alama mbaya xana,wamepambana!!!
Povel
Duh noma sana hiiii
Amiri Kayera
Mechi za mwisho wamefungw San Liverpool
Shafii
Kloop yuko vizuri.
JULIANA
Asante kwataharifa
Samiah
Asantee kwa taarifa
Latifa juma mohamed
Ahsante kwa taarifa njema
Rehema
Bonge y makalay
tumaini
Maoni:makala nzuri
farida ahmadi
Klopp ni kocha mzuri Sana
Venerose
Taarifa nzuri hiyo
caroline
sio mbaya sana
warda
Clopp anajitahidi sana#Meridianbettz
Zeiyana
Klop hakuna anayempinga ni kocha bora sana ulimwenguni kote kwa rekodi zake.
Neema juma
Makala nzuri
Omary lukumbi
Duu hatar kweli na ndio ilikua kusudio la klopp kuvunja rekodi ya pep ya kufikisha point 100 na timu ilimvulugia rekod yake arsenal
sauda
Asante Meridian kwa Makala safi
Salma ngende
Ana nafasi nzuri
Dorophina
Hii liver wamevunja rekodi kwao hawajawahi kufikisha alama hiyo
Janeflora malisa
Makal nzr
Asia Abdy
Good
David Pere
Bado atazifikia na atazipita sababu bado timu yake ipo vizuri sanaa