Kulingana na ripoti kutoka Ureno, wamiliki wa zamani wa Inter, Suning wako mbioni kuwekeza euro milioni 80 kununua klabu ya Portimonense.
Tovuti ya ZeroZero inadai kuwa chanzo kilicho karibu na mazungumzo hayo kilithibitisha kuwa makubaliano hayo yapo tayari kuingia katika hatua muhimu.
Pia meridianbet inatoa michezo ya kasino ya mtandaoni kama vile, Aviator, poker, Roullette, sloti na mingine kibao. Ingia meridianbet na ucheze sasa.
Inaonekana itajumuisha ununuzi wa uwanja wa michezo wa Portimao na kituo cha mafunzo cha timu ya Vijana chini ya miaka 23.
Kwa sasa Portimonense inashiriki ligi ya daraja la pili ya Ureno, kwani ilishuka daraja mwishoni mwa msimu uliopita, na kumaliza katika nafasi ya 16 kati ya timu 18.
Hii itakuwa ni kurejea haraka katika ulimwengu wa soka kwa Suning, kampuni ya China inayoendeshwa na familia ya Zhang ambayo ilikuwa inaisimamia Inter kutoka 2016 hadi 2024.
Walipoteza udhibiti wa timu hiyo ya Serie A mnamo Mei 22 baada ya kushindwa kulipa deni la Euro milioni 395 kwa Oaktree Capital Management, hivyo klabu hiyo ilinyang’anywa umiliki wake.
Hiyo ilijumuisha mkopo wa miaka mitatu wa kurejesha fedha na kiwango cha juu cha riba.
This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.
Strictly Necessary Cookies
Strictly Necessary Cookie should be enabled at all times so that we can save your preferences for cookie settings.
If you disable this cookie, we will not be able to save your preferences. This means that every time you visit this website you will need to enable or disable cookies again.