Bruno Fernandes Anatarjiwa kua Nahodha Mpya United
Kiungo wa klabu ya Manchester United Bruno Fernandes inaelezwa kua anatarajiwa kua nahodha mpya wa klabu hiyo baada ya Harry Maguire kuvuliwa kitambaa. Bruno Fernandes ambaye alikua nahodha msaidizi msimu …
Wenger: Arsenal wanaweza kua Mabingwa Msimu Ujao
Kocha wa zamani wa klabu ya Arsenal Arsene Wenger amesema anaamini klabu hiyo ina kila sababu ya kuweza kubeba ubingwa wa Uingereza msimu ujao. Kocha Wenger ameweka wazi kua klabu …
Maguire Rasmi Avuliwa Unahodha United
Beki wa kimataifa wa Uingereza Harry Maguire ameeleza kupitia mitandao ya kijamii kua kwasasa sio nahodha tena wa klabu ya Manchester United baada ya mazungumzo ya kina na kocha wa …
West Ham Wamvizia Maguire
Klabu ya West Ham United wameonesha nia kumuhitaji beki wa kimataifa wa Uingereza anaekipiga klabu ya Manchester United Harry Maguire ambapo klabu hiyo imemueka sokoni. West Ham chini ya kocha …
Manchester United Wamfukuzia Goretzka
Klabu ya Manchester United ipo kwenye mchakato wa kumsajili kiungo wa klabu ya Bayern Munich raia wa kimataifa wa Ujerumani Leon Goretzka ndani ya dirisha hili. Manchester United mpaka sasa …
Mayele Kutimka Yanga
Mshambuliaji wa Yanga raia wa kimataifa wa Congo Fiston Mayele atatimka ndani ya klabu hiyo muda wowote kuanzia sasa na ataelekea klabu ya Pyramids nchini Misri. Mchezaji Fiston Mayele inaelezwa …
Man United na Onana Kila Kitu Safi
Klabu ya Man United yafanikiwa kumalizana na klabu ya Inter Milan kwajili ya kumnunua golikipa wa timu hiyo Andre Onana kwa ada ya uhamisho ya Euro milioni 48. Man United …
Milan Wanataka Kumsajili Mshambuliaji wa PSG Ekitike
Milan wanaripotiwa kufikiria kumnunua mshambuliaji wa Paris Saint-Germain, Hugo Ekitike, ambaye yuko tayari kuondoka katika mji mkuu wa Ufaransa baada ya msimu mgumu wa kwanza. Mshambuliaji huyo mwenye umri …
Roma Yaendelea Kushinikiza Kumnunua Morata
Roma wanaendelea kumsaka mshambuliaji wa Atletico Madrid Alvaro Morata na Mhispania huyo atakuwa tayari kukatwa mshahara ili kuungana na Jose Mourinho na Paulo Dybala. Kulingana na Calciomercato, Morata anapata …
Dean Kuachana na Bodi ya Waamuzi wa PGMOL Msimu Huu wa Joto
Mike Dean anatazamiwa kuacha jukumu lake na bodi ya mwamuzi wa Professional Game Match Officials Limited. Baada ya kustaafu kazi yake ya uwanjani mwishoni mwa msimu wa 2021-22, Dean …

